Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Umezungumzia faida za DP world kama watajenga msikiti jee faida hiyo itatokana na kodi za waislamu pekee?.DP World ni kampuni ya kimataifa inaendesha bandari mabari yote na nchi nyingi zenye shughuli kubwa za kibandari kuliko Tanzania. Hivyo kama wamesema watajenga msikiti na hata kazi hawajaanza basi yawezekana hiyo faida inatokana na kazi zao za Marekani,Urusi,Uiengereza kwa kwengineko.Kipi kinakuuma hapo.Au haja yako ni waislamu wasipate msaada wowote wa kuwaendeleza halafu mupate sababu ya kuwadharau kuwa wako nyuma.
Kubwa zaidi kama unaumizwa na kodi zetu waislamu na wakristo basi ungekuwa umependekeza MOU ya kanisa na serikali ya Tanzania basi uvunjwe haraka. Huu mkataba ndio unaochukua kodi zetu sote kuzipeleka kwenye mahospita ya kanisa halafu kuzizalishia pesa nyengine na kujitanua kwa kanisa nchini.Badala yake wewe unapinga watu wanaotaka kutumia faida zao wenyewe kujenga msikiti utakaotumiwa na waislamu.
 
Baada ya kutoka kwenye uwekezaji sakata linaenda kwenye udini, Bongo hii kuna watu roho zinawauma saaana wanapoona tunaishi kwa amani, wanatamani kinuke ili wayatimize malengo, ikifika hapa tuu ndo huwa namkubali mjomba Magu na falsafa zake
 
Hakuna alichokosea Askofu Mwamakula, usimfundishe uoga au unafiki, muhimu jiulize, hicho alichosema hapo kina ukweli au hakina?

Kama ni kweli alichosema, kwamba hao waarabu wameahidi kujenga msikiti Mbeya, unataka afiche kusema ukweli kwa sababu gani? ukweli lazima usemwe hata kama mchungu, hiyo ndio maana halisi ya kuwa kiongozi wa dini, na sio huyo Mwaipopo na utapeli wake.

Hao waarabu ni matapeli, wanaotumia faida ya huo utapeli wanaotufanyia kuwajengea msikiti, na kama huo msikiti unajengwa kwa kipato haramu cha utapeli halafu bado mnashangilia, nyie mnaonesha liko tatizo somewhere upstairs.
Waarabu ndo waasisi wa biashara ya watumwa na pembe za ndovu Sasa wanakuja kivingine . kwa mgongo wa uislam kuwapumbaza na ndio maana waislam wetu hapa Wana react tunavyohoji vipengele vya mkataba

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Hili jambo naona linaamuriwa kidini, na mim nitoe maoni yangu kwa fikra za kidini maana nchi imejaa wapuuzi wengi.

Okay kama wanajenga msikitini basi wapewe bandari, nawaunga mkono DP WORLD kweny hili.

Tunashindwa kuuchambua na kuanika madhaifu ya mkataba tunaanza kuzungumzia ujenzi misikiti,kwani ni lazima wajenge makanisa if watajenga misikiti,kuna kipengele kweny mkataba kinasema ajenge nyumba za ibada, kama hakipo basi kupeleka fadhira kwa jamii ni maamuzi yake

Hitimisho, DP WORLD majority ni warabu na warabu weng ni waislam kujenga misikit ni wajibu wao.Kwan wamissionaries walijenga misikiti?

KUUINGIZA UDINI KWENY SWALA LA BANDARI NI WAZ HATUTAONA MADHURI NA MADHAIFU YA MKATABA
 
Askofu Mwamakula kakosea timing ya tamko lake. Maoni yake haya alipaswa akae nayo kifuani ili kuondoa propaganda za wanaotaka kutumia dini kuua umoja wa kitaifa kwenye kuukataa mkataba huu.

Sasa amewapa ammunition akina Mwaipopo waliyokuwa wanaitafuta.

Njia ya kudeal na akina Mwaipopo ni kuwaignore ili ujinga wao ujionyeshe wenyewe. uachie umma udeal nao kwenye tit for tat, ila Askofu wewe inabidi uconcentrate ktk hoja za mkataba ulivyo.

Ukishaanza kuhoji misikiti, unaibua hisia za waislamu kuwa kumbe wewe ugomvi wako siyo mkataba bali una ugomvi na waislamu kitu ambacho pengine si kweli.
Kwanza mkuu nakupa hongera ya moyo wangu!

pili, ninafahamu fika wewe ni Muislam safi na mwenye moyo wa kupenda dini,

Ninakupongeza kwa hiki umesema, na hii inaonyesha kwamba, mbali na kuwa tuna dini zetu, kumbe hatuwezi kuwa washabiki wa Dini zetu pindi kunapotokea jambo la kitaifa!

Umeongea pointi ambazo ndani yake, mtu ambaye anayo dini na ana shule ya maana, hawezi kuwa mbinafisi wa Dini yake tu, bali atayabeba yote mawili na moja lile la kitaifa likiwa mbele zaidi kwa masilahi yake na jamii yote ya kitanzania

Mungu akubariki mkuu
 
Nilikwambia Toka Mwanzo kinachopingwa hapa na waliojificha kwenye sijui mkataba mbovu ni mambo ya Kidini.

Kwamba ni sawa Wazungu kutoa pesa za kusaidia Wakristo ikiwemo kuwajengea makanisa nk ila ni haramu hao hao DP World kutoa pesa za kusaidia Waislamu 😁😁😁😁
Waislamu wengi hawaelewi vizuri hayo.
 
Hili jambo naona linaamuriwa kidini, na mim nitoe maoni yangu kwa fikra za kidini maana nchi imejaa wapuuzi wengi.

Okay kama wanajenga msikitini basi wapewe bandari, nawaunga mkono DP WORLD kweny hili.

Tunashindwa kuuchambua na kuanika madhaifu ya mkataba tunaanza kuzungumzia ujenzi misikiti,kwani ni lazima wajenge makanisa if watajenga misikiti,kuna kipengele kweny mkataba kinasema ajenge nyumba za ibada, kama hakipo basi kupeleka fadhira kwa jamii ni maamuzi yake

Hitimisho, DP WORLD majority ni warabu na warabu weng ni waislam kujenga misikit ni wajibu wao.Kwan wamissionaries walijenga misikiti?

KUUINGIZA UDINI KWENY SWALA LA BANDARI NI WAZ HATUTAONA MADHURI NA MADHAIFU YA MKATABA
Mimi kama kiongozi kama investor ana kuja Nataka afanye biashara zake na change anipe, kwisha! Kwa nini aanze kujenga misikiti au kanisa?? Jamani sisi waafrika tuko weak mno, dhaifu kwa kila kitu, akili (low IQ); kimwili (Physically); yaani kila kitu. We invite investors but not at our loss! Mwaka wa karibu 70 tangu tupate uhuru watu wanaandika huu utumbo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mafi kabisaaaaaaaaaa
 
Hii siyo Nchi ya Kiislam
Hao majesuit au rotary hawatuibii, usilete makasiriko hapa, kama unaona misaada sifa, kaombe kwa wasafi wasio na uchafu.
Hii siyo Nchi ya Kiislam, kama hao jamaa wangekuwa na nia njema waneangalia Vipaumbele vya wakazi wa Mbeya kwa kuwa wanadai wamekuja huku kwa ajili ya kuwekeza kwenye maendeleo, sio kama shirika la Dini, hayo mambo ya misikiti ni nyongeza tu wakati mambo mengine yakiwa yanaendelea kuliko kufanya kwamba ndiyo vipaumbele vyao, sawasawa na wachina au mataifa mengine wanapo kuja kuwekeza kwenye Miradi mikubwa ya Kitaifa waanze tu kwa kuanza kueneza Dini zao hiyo siyo sawasawa. Ikumbukwe kwamba Tanzania tumechanganyika sana, utakuta familia moja kila mtu na dini yake lakini kwa approach hiyo lengo lake ni kutugawa Watanzania tuikatae kwa nguvu zetu zote!
 
Hivi Mwamakula akiambiwa kuwa si kazi ya mtu yeyote kuwauliza DP World hela yao wanaitumiaje ili mradi hawavunji sheria za nchi atawajibuje?.

Wewe una haki ya kuuliza kama wanatimiza masharti ya mkataba waliyoingia na serikali yako lakini huna haki ya kuuliza pesa yao wenyewe wanaitumiaje, au wanamsaidia nani.

Ndiyo maana kuna Taasisi nyingi za Ulaya zinasaidia makanisa na taasisi za Wakiristo lakini that is non of Muslims business kuuliza.

Tujikite kwenye mkataba tu, haya mambo mengine yatatutoa nje ya reli.
 
Hivi Mwamakula akiambiwa kuwa si kazi ya mtu yeyote kuwauliza DP World hela yao wanaitumiaje ili mradi hawavunji sheria za nchi atawajibuje?.

Wewe una haki ya kuuliza kama wanatimiza masharti ya mkataba waliyoingia na serikali yako lakini huna haki ya kuuliza pesa yao wenyewe wanaitumiaje, au wanamsaidia nani.

Ndiyo maana kuna Taasisi nyingi za Ulaya zinasaidia makanisa na taasisi za Wakiristo lakini that is non of Muslims business kuuliza.

Tujikite kwenye mkataba tu, haya mambo mengine yatatutoa nje ya reli.
Kama hao waarabu wasingekuwa na doa, hayupo ambaye angehangaika kuuliza matumizi ya hela zao.

Kwani kule Dodoma hamjawahi kujengewa msikiti na Gaddafi? nani aliyelalamika kuuliza kwanini Gaddafi kawajengea? Hayupo.

Usijitoe akili makusudi kulinda maslahi yenu, ukweli ni kwamba, hao waarabu ni wachafu, na uchafu wao umethibitika kote walipokwenda kuwekeza dunia hii, hivyo hawawezi kufumbiwa macho na wasiopenda unafiki, wanaoijua kweli, na kuihubiri haki.
 
Nlikuwa na maumivu makali sana juu ya huu mkataba kwa nchi yetu.Lakini kwa huu mtazamo huu wa Askofu,from now on I will never care about bandari any more.Kupitia serikali(chini ya kanisa katoliki)Ilizuia tusiwe katika nchi za jumuiya ya kiislam.Lakini na hili la bandari kumbe kelele zote ni kwasababu ya mawazo kuwa waislam tutafaidi?Am off.
 
Ingekua ni muekezaji kutoka nchi ya kizungu angejenga shule tufaidi wote ila hawa wa satanic verses bure kabisa
 
Nlikuwa na maumivu makali sana juu ya huu mkataba kwa nchi yetu.Lakini kwa huu mtazamo huu wa Askofu,from now on I will never care about bandari any more.Kupitia serikali(chini ya kanisa katoliki)Ilizuia tusiwe katika nchi za jumuiya ya kiislam.Lakini na hili la bandari kumbe kelele zote ni kwasababu ya mawazo kuwa waislam tutafaidi?Am off.
Hampendi kuambia ukweli, mnadhani kwa ujinga wenu wa kuficha ukweli kila mmoja ni mnafiki, pole.
 
Kama hao waarabu wasingekuwa na doa, hayupo ambaye angehangaika kuuliza matumizi ya hela zao.

Kwani kule Dodoma hamjawahi kujengewa msikiti na Gaddafi? nani aliyelalamika kuuliza kwanini Gaddafi kawajengea? Hayupo.

Usijitoe akili makusudi kulinda maslahi yenu, ukweli ni kwamba, hao waarabu ni wachafu, na uchafu wao umethibitika kote walipokwenda kuwekeza dunia hii, hivyo hawawezi kufumbiwa macho na wasiopenda unafiki, wanaoijua kweli, na kuihubiri haki.

Sasa you get my point

Tuwapinge hao waarabu kwa rekodi yao mbaya na mkataba mbovu.

Ila askofu akishaanza kuhoji misaada yao ya futari na misikiti, atapoteza lengo na mjadala utaharibika kwa sababu ataulizwa tu kuwa atampangiaje mtu namna ya kutumia hela yake kama havunji sheria?
 
Back
Top Bottom