Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121

Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.

Pia soma
 
View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
Mtakuwa mmefanya jambo la kizalendo! Mtakumbukwa daima!
 
View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
hivi kwani kuna mkataba wa dp world?
 
View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
Wanampinga nani? Na wanafungua hiyo kesi wapi?
 
Nshalla ataishitaki serikali kwenye mahakama zipi? Majaji wepi? Hawa hawa wanaoongozwa na huyu jaji mkuu aliyeongezewa muda kinyume cha katiba?

Unajua sababu na maana ya nyongeza ya muda wa huyu jaji mkuu mtaafu??
 
Nshalla ataishitaki serikali kwenye mahakama zipi? Majaji wepi? Hawa hawa wanaoongozwa na huyu jaji mkuu aliyeongezewa muda kinyume cha katiba?

Unajua sababu na maana ya nyongeza ya muda wa huyu jaji mkuu mtaafu??
Suala hili linazidi kutugawa Watanzania. Je, Rais haoni hatari ya migawanyiko hii katika jamii???
 
View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
Huyu Msigwa anahangaika sana..!! Anasema ikifika muda wa kushirikisha wanunuzi wengine watafanya hivyo, hivi hao wengine nao watasaini nao makubaliano ya ushirikiano?

Eti muda ukifika wataona kama wanakodisha bandari au la..!! Ujinga mtupu
 
Anawatieni ujinga wasioelewa au wavivu wa kusoma.
Kwa mfano article 27 inaeleza kuwa makubaliano haya yakiishaanza kufanya kazi basi tunalazimika kutoheshima makubaliano yoyote hata ya kimataifa yatakayogongana na makubaliano haya. Na hii ni pia kwa sheria za ndani.
Je hiyo mikataba midogo modogo ndiyo itakuja kubadilisha hayo?
Soma kifungu cha 3 article 7 kwamba once authorised can not be revoked......... Halafu vimikataba hile vidogo viseme ...can be revoked...?
Hivi Msigwa anaweza kutueleza kwa nini teritory imepewa definition ya kujumuisha na airspace?
Halafu kwa haraka mnaeleza bandari ya dar es salaam peke yake wakati hata heading ya makubaliano inaonyesha ni SEA and LAKE PORTS! Maana yake ni bandari zote za bahari na maziwa.
Na kuna mahali DPW amepewa exclusive rights, halafu eti vimikataba vidogo vinavyotakiwa kwenda sawa na makubaliano haya viseme hakuna exclusive rights! In that case ni kipi kina nguvu juu ya kingine? Hadi unashindwa kuelewa huyu anayezungumza hayaoni au!
Someni someni
 
Back
Top Bottom