Nachojiuliza mkopo wa billion 864 nani analipa kama DP World wamepewa bandari ya Dar?

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Ikumbukwe kwamba Mwaka 2017 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata mkopo kutoka benki ya dunia wa tsh billion 864 kwa ajiri ya kuongeza kina na kuimarusha gati (1-7) pamoja na kuimarisha mifumo ya usimamizi wa taarifa na uendeshaji katika hizo gati.

Na mda Wa mkopo ni miaka Saba ikiwa inamaana kwamba Mwaka huu 2024 inatakiwa tumalize kulipa mkopo huo

Pia uingereza kupitia idara ya maendeleo ya kimataifa (Department for international development) ilitoa dollar milion12 lengo ilikuwa kusaidia kuimarisha taasisi usimamizi na mamlaka ya bandari

Mwaka 2023 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeingia mkataba na Dp world ambapo wamepewa eneo ambalo limejengwa kwa mkopo na wamepewa msamaha wa Kodi (tax exemption)

Cha kujiuliza Dp world wamepewa kuongeza nini ukizingatia wamepewa msamaha wa Kodi?

Kwa hiyo tuseme Dp world anafaidi miundo mbinu iliyotengenezwa kwa mkopo ambao tunamalizia kuulipa Mwaka huu!

Haya mambo IPO siku yatajulikana Ni watu gani waliomshawishi raisi kufanya haya. Bila kumsahau mbarawa na wengine wanaofahamu mambo haya.
 
Ikumbukwe kwamba Mwaka 2017 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata mkopo kutoka benki ya dunia wa tsh billion 864 kwa ajiri ya kuongeza kina na kuimarusha gati (1-7) pamoja na kuimarisha mifumo ya usimamizi wa taarifa na uendeshaji katika hizo gati.

Na mda Wa mkopo ni miaka Saba ikiwa inamaana kwamba Mwaka huu 2024 inatakiwa tumalize kulipa mkopo huo

Pia uingereza kupitia idara ya maendeleo ya kimataifa (Department for international development) ilitoa dollar milion12 lengo ilikuwa kusaidia kuimarisha taasisi usimamizi na mamlaka ya bandari

Mwaka 2023 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeingia mkataba na Dp world ambapo wamepewa eneo ambalo limejengwa kwa mkopo na wamepewa msamaha wa Kodi (tax exemption)

Cha kujiuliza Dp world wamepewa kuongeza nini ukizingatia wamepewa msamaha wa Kodi?

Kwa hiyo tuseme Dp world anafaidi miundo mbinu iliyotengenezwa kwa mkopo ambao tunamalizia kuulipa Mwaka huu!

Haya mambo IPO siku yatajulikana Ni watu gani waliomshawishi raisi kufanya haya. Bila kumsahau mbarawa na wengine wanaofahamu mambo haya.
Vipi boss chai umeshakunywa
Maana mood yako leo kali sana unawaza billion 800 za mkopo ambao hautakuja kugongewa hodi kulipa..
 
Vipi boss chai umeshakunywa
Maana mood yako leo kali sana unawaza billion 800 za mkopo ambao hautakuja kugongewa hodi kulipa..
Nimeamka na hasira Kali maana watu wanapiga pesa kwa kivuli cha kukopeshwa halafu pesa hizo hazionekani zimefanya kazi gani! Hii nchi hii watu wachache wanaitafuna !
 
Nimeamka na hasira Kali maana watu wanapiga pesa kwa kivuli cha kukopeshwa halafu pesa hizo hazionekani zimefanya kazi gani! Hii nchi hii watu wachache wanaitafuna !
Ila kina kimeongezeka ndio maana na meli pia zimeongezeka pale port..
 
Kwamba baada ya uwekezaji mkubwa wa kupanua na kuboresha bandari, tena kwa pesa za mkopo na wafadhili......DP world kapewa bwerere na hachangii chochote kwenye huo uwekezaji, aliyeturoga atakuwa kafa.
 
Mbona inalipwa kwa kupanda gharama za kimaisha au wewe unaishi burundi?
vi nchi vyetu hivi havilipi madeni vinamtindo wa kulimbikiza marejesho mwisho wanaonewa huruma wanapewa misamaha..

Tukikaziwa tulipe kila deni mzee tungetafutana humu ndani..
 
vi nchi vyetu hivi havilipi madeni vinamtindo wa kulimbikiza marejesho mwisho wanaonewa huruma wanapewa misamaha..

Tukikaziwa tulipe kila deni mzee tungetafutana humu ndani..
Kwa hali ya sasa hatutafutani? Sukari kilo 5000 badala ya elfu 3? Saruji pamoja na vifaa vya ujenzi kiujumla
Kushuka kwa thamani ya pesa yetu na kukosekana kwa dola?
Upandaji wa holela holela bei ya mafuta na nauli za mabasi?
Miradi ya kimkakati kushindwa kumalizika kwa wakati
Bado tu hujaona sign hapo?
 
Kwenye hilo la DPW tumepigwa, naamini kabisa tumepigwa kwasababu ya ujinga wa Samia.

Ameenda kuitoa bandari bila hata kujua kuna hatua gani zilishawahi kupigwa na serikali juu ya uboreshaji wa bandari.

Matokeo yake amewapa wajomba zake bandari yetu ikiwa imeboreshwa waitumie bure milele, huku sisi tukibaki na mzigo wa kulipa madeni yaliyotumika kuiboresha.

Samia hafai kabisa kuwa kiongozi wa hili taifa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ikumbukwe kwamba Mwaka 2017 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata mkopo kutoka benki ya dunia wa tsh billion 864 kwa ajiri ya kuongeza kina na kuimarusha gati (1-7) pamoja na kuimarisha mifumo ya usimamizi wa taarifa na uendeshaji katika hizo gati.

Na mda Wa mkopo ni miaka Saba ikiwa inamaana kwamba Mwaka huu 2024 inatakiwa tumalize kulipa mkopo huo

Pia uingereza kupitia idara ya maendeleo ya kimataifa (Department for international development) ilitoa dollar milion12 lengo ilikuwa kusaidia kuimarisha taasisi usimamizi na mamlaka ya bandari

Mwaka 2023 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeingia mkataba na Dp world ambapo wamepewa eneo ambalo limejengwa kwa mkopo na wamepewa msamaha wa Kodi (tax exemption)

Cha kujiuliza Dp world wamepewa kuongeza nini ukizingatia wamepewa msamaha wa Kodi?

Kwa hiyo tuseme Dp world anafaidi miundo mbinu iliyotengenezwa kwa mkopo ambao tunamalizia kuulipa Mwaka huu!

Haya mambo IPO siku yatajulikana Ni watu gani waliomshawishi raisi kufanya haya. Bila kumsahau mbarawa na wengine wanaofahamu mambo haya.
Watalipa watoto, wajukuu na vitukuu wetu!
 
kutiongeza 100 kwenye bili ya maji na umeme 200, tuongeze kodi ya pango jero mafuta gasoline na petrol jumla jero kwa miezi sita ni billions za kutosha

#bongozozo#
 
Haya mambo IPO siku yatajulikana Ni watu gani waliomshawishi raisi kufanya haya. Bila kumsahau mbarawa na wengine wanaofahamu mambo haya.

Kwani unadhani rais hajui mpaka useme nani kamshauri? Mwaka 2017 si alikua makamu? Utakuaje makamu alafu hujui kama kuna mikopo imekopwa kwa ajili ya bandari?



Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom