PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wana jamvi kwa taarifa nilizopata muda so mrefu ni kuwa Askofu machachari (Kilaini) amerejeshwa makao makuu ya kanisa Katoliki kujieleza kufuatia kuhusishwa na wizi wa fedha za uma katika account ya escrow
Na huenda akasimamishwa kuhudumia kondoo wa bwana kulingana na sheria za kanisa.
Tususiri kuona nini kitatokea.
Na huenda akasimamishwa kuhudumia kondoo wa bwana kulingana na sheria za kanisa.
Tususiri kuona nini kitatokea.