Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Ninachojua mimi kanisa katoliki halitakulupuka ila litatenda haki, kwani ni kanisa lenye watumishi wasomi na wenye kujitambua. Hivyo najua watakaa na kutupatia majibu ya sintofahamu hii inayochafua sura ya kanisa.