kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,302
- 553
Mkuu gwajima sio kiongozi Wa dini Bali nimpiga dili tu sio ITV peke hata Azamtv wamepotezea kwakua hamna chamana alicho ongea
Kwahiyo ndo mwanaume umemwaga point hapo, yaan umeshirikisha ubongo to the maximum! Kwako kupigiwa makofi ni bonge la issue! Dah!Nimemsikiliza...nimetathmini hoja zake na kuhitimisha kuwa hazina ushawishi wala ushahidi usio na shaka. Amepea kabisa kukabili mapigo ya Kamanda Slaa.
Alichofanikiwa ni kupigiwa makofi na wafuasi wa kanisa lake aliokuja nao ukumbini, ili kuleta kiinimacho kuwa waandishi wa habari walimpigia makofi!!!
duh!! kumsikiliza gwajima muda unapote! kumsikiliz slaa muda haupotei!!fikiri kabla ya kupost!! ,nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
askofu ama mchungaji,hapaswi kutake side,atakuja slaa atakuambia matatizo yake binafsi na ya kifamilia,hiyo noi siri yako askofu,atakuja lowasa nae atakuambia mambo yake....hao ni kondoo wako na wanaamini siri zao kwako ziko salama.....
sasa ewe mchungaji fake KUMBE HUWA UNAWARECORD WAUMINI WAKO?....
ndugu zangu wagalatia,hamuoni huyu mtu hafai kabisa?,
baba mchungaji,sijui askofu,unaenda kurusha mipasho kwa muumini wako bila hata aibu ,kwani yesu aliwaambiaje kuhusu kusamehe....
ewe mchungaji,sijui askofu,hata kama slaa kakuita mshenga,kweli huwezi kusamehe kama yesu alivyokuelekeza,,,,,,,,,AU LABDA yesu unaemuabudu ni yule yesu wa nyanzaland na si nazarethi..
wagalatia amkeni bana ,huyo mkongomani sio mtumishi wa mungu asee
inawezekana wahariri wote wameambiwa kimya.
Nimesikitika sana kuwa walinzi wa nyumbani kwa Slaa waliwekwa na Gwajima,wafanyakazi wa ndani walitoka kwa Gwajima.Gwajima anajua sehemu kubwa ya maishaya Slaa.Yaani Dr akiwa home lazima Gwajima anajua as walinzi wake ni vibaraka wa Gwajima.Kweli Ndege mjanja hunaswa na tundu bovuDr Slaa amevuliwa Nguo wazi