GWAJIMA HANA SIFA YA KUWA MCHUNGAJI.
HUWEZI KUWA MCHUNGAJI HUKU UNAREKODI MATATIZO ZA WASHIRIKA WAKO KWA NIA OVU NA SIO KWA USHUHUDA WA KAZI YA MSALABA.
HUWEZI KUWA MCHUNGAJI HALAFU UNATANGAZA MATATIZO YA WASHIRIKA WAKO, MFANO ALIVYOMDHALILISHA JOSEPHINE KUWA ANA MAPEPO.
AMESEMA JOSEPHINE HASTAHIKI KUWA FIRST LADY KWA AJILI ANA MAPEPO. YEYE SI MCHUNGAJI TENA ANAFUFUA WAFU, KWANINI HAKUYATOA???
YEYE NI MCHUNGAJI, NA KAMA ALIONA NYUMBA YA DR. SLAA INA SHIDA SI ANGEWAOMBEA.
HUYU BWANA ALILISEMA KANISA KATOLIKI NA ALIFIKA MAHALI AKAMTUKANA MPAKA KADINALI PENGO, LEO ANASEMA RC NI KANISA VERY CREDIBLE???
Queen Esther
Leo Jumanne Septemba 08, 2015 Askofu Gwajima anaongea na waandishi wa habari akitoa maelezo juu ya alichokisema Dk. Slaa wakati anaongea na waandishi wa habari pia kutoa maelezo ya uhusikaji wake kwenye tukio husika.
===========