mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,191
- 19,117
A grave miscalculation by ccm! For sure they regret to involve Slaa in the whole issue of trying to keep their position as a ruling party !
Kama Gwajima ana nafasi kubwa zaidi ya Mwenyekiti wa chama basi CDM na Ukawa kwa ujumla mnapoelekea ni kubaya sana, sasa hivi Mbowe hana sauti hapo ni wamiliki wapya wa chama ndio wenye sauti
kwa ushauri tu,ngwajima ni tapeli lile,lowasa angepata urais ndo mgejua rangi halisi za hawa watu,,,,ila ngwajima atafute kiwanja cha kanisa lake,pale tanganyika packers sidhani kama atapatumia tena....
Huyo aliesema kuhusu ufufuo arudi shule mana ufamu wake mdogo sana au huwe unasoma post kwanza usikurupuke
Gwajima anamwaga mboga
Hivi hao wafu anaowafufua yeye walizaliwa na nani? Waliwahi kufanya kazi popote pale duniani? Waliwahi kuzaa, kuoa au kuolewa? Je vibali vya mazishi alitoa nani? Baada ya kufufuka hivi huwa wanakaa wapi, wanaendelea na shughuli zipi za maisha? Nisaidieni
nasikia lowasa aliwaahidi hawa maaskofu matrion ya hela iwapo atabahatisha kuwa rais....ndo maana maaskofu wanahaha kumwingiza lowasa ikulu....
siku si nyingi mtaona press ya kakobe nae akimwaga kampeni....
Mchungaji badala ya kujibu namna alivyohusishwa kisiasa anaongelea habari ya mapepo na matatizo aliyoambiwa kama kuhani .....huyu angekuwa Padre angewajibishwa bila ushahidi wa ziada ...lakini kwa vile ni Yale makanisa ambayo hakuna wa kuhoji ataendelea kusomba kondoo .....
Huyo sio Mchungaji wala bishop ni tapeli aliyebeba anaowatapeli kila siku (waumini wake) kwenda kumshangilia akimwaga uchafu wake. Mimi nina imani walioenda kumshangilia wameshapata ujira wao. Na walioenda wakafikiri atajibu hoja, wamepoteza muda wao bure. Shame on you bishop, siku nyingine jaribu kuficha upumbavu wako.
Kama wachungaji na maaskofu wenyewe ndio hawa aina ya akina gwajima tunaowategemea kutupeleka kwa mungu, basi hakuna atakayefanikiwa kuuona ufalme wa mungu
Kwa taarifa yako baada ya mkutano wa Askofu Mkuu Gwajima Dr Mihogo kakimbilia USA kaona hana ubavu wa kujibu nondo kwakuwa tayari zimerekodiwa na huo ndio ulikuwa ushahidi mzito ambao Dr hakuwa tayari kukutana nao.
GWAJIMA HANA SIFA YA KUWA MCHUNGAJI.
HUWEZI KUWA MCHUNGAJI HUKU UNAREKODI MATATIZO ZA WASHIRIKA WAKO KWA NIA OVU NA SIO KWA USHUHUDA WA KAZI YA MSALABA.
HUWEZI KUWA MCHUNGAJI HALAFU UNATANGAZA MATATIZO YA WASHIRIKA WAKO, MFANO ALIVYOMDHALILISHA JOSEPHINE KUWA ANA MAPEPO.
AMESEMA JOSEPHINE HASTAHIKI KUWA FIRST LADY KWA AJILI ANA MAPEPO. YEYE SI MCHUNGAJI TENA ANAFUFUA WAFU, KWANINI HAKUYATOA???
YEYE NI MCHUNGAJI, NA KAMA ALIONA NYUMBA YA DR. SLAA INA SHIDA SI ANGEWAOMBEA.
HUYU BWANA ALILISEMA KANISA KATOLIKI NA ALIFIKA MAHALI AKAMTUKANA MPAKA KADINALI PENGO, LEO ANASEMA RC NI KANISA VERY CREDIBLE???
Queen Esther
Ni Mungu ndiye aliyemwongoza hivyo ili aje amwokoe na uwongo unaotoka kwa slaa naye akiupata kwa mchepuko wake! Bila hivyo watu wasingemwamini Gwajima!
Halafu unapokuwa unashughulika na wanasiasa ni lazima kuchukua tahadhali! wao huwa hawana marafiki wala adui wa kidumu! Nani angeliota kuwa Leo Slaa angekuwa kipenzi cha gazeti la Uhuru?
Hata hujui kinachoendelea kumbe kwa taarifa yako pale alishahama kitambo sasa yupo ubungo.
sasa ngwajima mie nifaatilie ishu zake zitanisaidia nini,labda ningua mwandishi sawa ningefuatilia magodown yake anayohifadhia misukule yako wapi,na kama misukule inapata chakula sawasawa,isije kuwa anawalisha unga na pumba za mahindi...
kama yuko ubungo inatakiwa ahame pia....