Umenifilisi maneno.Mama Kamili anatakiwa kuwa na roho ya msamaha Dr Mihogo anateseka sana fikiria jinsi alivyofungiwa nje akalala ndani ya gari,akashinikizwa kujitoa katika siasa,akashinikizwa kuharibu CDM.......Ni wakati wa Mama Rose Kamili kumsamehee Dr Slaa kwakuwa kiapo cha ndoa yao takatifu kinasema kifo ndio kitawatenganisha,watavumiliana katika shida na raha.
Mama Rose Kamili fikiria Dr mzima na akili zake zote anafungiwa nje,ana umwa na mbu usiku kucha,anapigwa na baridi usiku kucha no Dar hakuna baridi lakini mbu wapo sijui siku hiyo Dr Mihogo alijisikiaje,sijui alikumbuka alivyo kana useja,sijui alimkumbuka Mama Rose Kamili sijui sijui nimejikuta nikimwonea huruma Dr Mihogo.
Nawalaumu sana CDM walikuwa wakijua udhaifu wa Dr Mihogo lakini walikaa kimya kama si ujio wa Lowassa Ikulu ya Magogoni ingekuwa na First Lady mwenye mamlaka juu ya Rais wa nchi ambae ni amiri jeshi mkuu hii ni hatari Mbowe,Lissu,Mnyika,Halima Mdee ..... wote mnastahili lawama.