johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,024
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Duniani Dr Gwajima PhD ni Mbunge wa jimbo la Kawe CCM
Sheikh Majini yeye aligombea kule Handeni Tanga lakini alifeli Kwenye kura za Maoni
Kumbukumbu zangu zinanikumbusha Mbunge mh Mwamasika wa Iringa alijiuzulu Ubunge alipochaguliwa kuwa Askofu wa KKKT Dodoma Ili asichanganye Dini na Siasa
Wakati mchungaji Rwakatare alipoteuliwa kuwa mbunge wa vitu maalumu CCM aliyekuwa Askofu mkuu wa TAG Prof Rainwell Mwenisongole alimtaka kuacha mambo yote ya Uongozi wa Kanisa Ili asichanganye Dini na Siasa lakini Rwakatare alikataa na kusema Kanisa lake siyo Tanzania Assembly of God bali ni Mikocheni Assembly of God
Hivyo kumsemasema Askofu Mwamakula ilhali kuna mbunge Askofu siyo sahihi
Mungu wa mbinguni awabariki!
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Duniani Dr Gwajima PhD ni Mbunge wa jimbo la Kawe CCM
Sheikh Majini yeye aligombea kule Handeni Tanga lakini alifeli Kwenye kura za Maoni
Kumbukumbu zangu zinanikumbusha Mbunge mh Mwamasika wa Iringa alijiuzulu Ubunge alipochaguliwa kuwa Askofu wa KKKT Dodoma Ili asichanganye Dini na Siasa
Wakati mchungaji Rwakatare alipoteuliwa kuwa mbunge wa vitu maalumu CCM aliyekuwa Askofu mkuu wa TAG Prof Rainwell Mwenisongole alimtaka kuacha mambo yote ya Uongozi wa Kanisa Ili asichanganye Dini na Siasa lakini Rwakatare alikataa na kusema Kanisa lake siyo Tanzania Assembly of God bali ni Mikocheni Assembly of God
Hivyo kumsemasema Askofu Mwamakula ilhali kuna mbunge Askofu siyo sahihi
Mungu wa mbinguni awabariki!