Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,295
24,131
Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!

Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha doa.

Si mwanzo mzuri.
n.b.
Nimetonywa na mdau aliyekuwepo.
 
Back
Top Bottom