Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,295
- 24,131
Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!
Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha doa.
Si mwanzo mzuri.
n.b.
Nimetonywa na mdau aliyekuwepo.
HUKUTOKEA!
Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha doa.
Si mwanzo mzuri.
n.b.
Nimetonywa na mdau aliyekuwepo.