Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!
Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha ka doa.
Si mwanzo mzuri.
Sheikh Rashid alienda msikitini, hamjui ilikuwa Ijumaaa?
Baadae alikuwa anakaguwa kero za foleni ya magari
 
Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!

Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha ka doa.

Si mwanzo mzuri.
Huyo anaitwa Rashid. Hamkumfahamu? Tangu lini Rashid ametunza ahadi.
 
Labda kaenda kutayarisha zile Boti za uvuvi ili vijana wote wawe wavuvi.
 
Haukuwekwa wazi!
Lakini kikao cha kwanza cha mbunge na waliokuchagua hutokei, sijui tuichukulieje?
Haikuwapendeza waliohudhuria.
Chunguza vzr kama wanakondoo jike hawakupungua hapo.huenda anashughulikia vita za Birmingham
 
kwa mtu anayemjua Mungu tena mchungaji , kwenda kuapa ubunge na kushika Biblia mbele za watu huku akijua ushindi haukua wake zambi hiyo itamtafuna sana .
 
Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!

Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha ka doa.

Si mwanzo mzuri.
Tapeli yule
 
Zungumzeni yote nawasikia hapa. Na hizi ndo kero zenyewe siyo lazima nionekane physically. Si mnajua naandaa video nyingine ili kulinyanyua p langu Tena. Baada ya mwamposa kuelekea kunipiga bao
 
Katika uchaguzi huu niliwavulia kofia ccm aisee.
Pamoja na Halima kukamata kura za wizi mamia,lakini bado askofu Rashid alishinda kwa kura maelfu kwa maelfu dah.
 
Subirini hapo mtumishi gwaji aje na mstari ndani ya bible wa kuwajibu 'Nilikusudia kuja kwenu lakini roho wa mungu alinikataza'
 
Mlivyokuwa mnamshadadia kipindi cha kampeni hamkuyajua haya
Hata nyumbani kwako kuna tofauti mkuu, hakuna sehemu utaweka watu wawili watatu wote wakawa perfect
Na ndio maana kuna sheria na taratibu popote pale duniani
 
Back
Top Bottom