Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Askofu Gwajima unaanza vibaya!

MTOA HOJA

Si Jambo Zuri, Hata kama Uhuru wa Habari ni Jambo Binafsi, Lakini Kuweka Post ya UONGO sio Uungwana. Lakini Kwa kuwa mtoa maada ametonywa basi ni vizuri kunyoosha Taarifa Hizo Kwa Usahihi.

Tarehe hiyo 18/12 Ijumaa, Ni kweli Diwani wa Mbezi Juu CCM Mweshimiwa Anna Lukindo Alikuwa na Ratiba Yake ya Kuongea na wadau mbalimbali kwenye kata Yake. Lakini Siku hiyo Hiyo Mweshimiwa Gwajima Mbunge wa Kawe Naye alikuwa na Ratiba Yake ya Kuwashukuru Watukufu Wanawake wa Kiislam Kwa Kumpigia Kura Kama sehemu ya Mwendelezo wa Ratiba zake Za kuwashukuru makundi ya Wananchi Mbalimbali JIMBONI kwake Kwa Kumpa Kura.
Na Baada ya Shukrani Hizo Tulielekea Bunju B Kwa Mkesha wa Maulid siku.
20201221_203047.jpg

Mkuu inaelekea unajua mengi.
Watu wana mategemeo sana na Mbunge Gwajima.
Hebu isome hiyo kadi ambayo ilitumika kualika watu.
Diwani kachapia?
Fafanua, kadi hiyo SIYO UONGO.
Kulingana na kadi Mbunge Gwajima alitakiwa kuja hapo.
 
MTOA HOJA

Si Jambo Zuri, Hata kama Uhuru wa Habari ni Jambo Binafsi, Lakini Kuweka Post ya UONGO sio Uungwana. Lakini Kwa kuwa mtoa maada ametonywa basi ni vizuri kunyoosha Taarifa Hizo Kwa Usahihi.

Tarehe hiyo 18/12 Ijumaa, Ni kweli Diwani wa Mbezi Juu CCM Mweshimiwa Anna Lukindo Alikuwa na Ratiba Yake ya Kuongea na wadau mbalimbali kwenye kata Yake. Lakini Siku hiyo Hiyo Mweshimiwa Gwajima Mbunge wa Kawe Naye alikuwa na Ratiba Yake ya Kuwashukuru Watukufu Wanawake wa Kiislam Kwa Kumpigia Kura Kama sehemu ya Mwendelezo wa Ratiba zake Za kuwashukuru makundi ya Wananchi Mbalimbali JIMBONI kwake Kwa Kumpa Kura.
Na Baada ya Shukrani Hizo Tulielekea Bunju B Kwa Mkesha wa Maulid siku.
Mkuu kanusha uthibitidsho.
Muongo nani?
 
MTOA HOJA

Si Jambo Zuri, Hata kama Uhuru wa Habari ni Jambo Binafsi, Lakini Kuweka Post ya UONGO sio Uungwana. Lakini Kwa kuwa mtoa maada ametonywa basi ni vizuri kunyoosha Taarifa Hizo Kwa Usahihi.

Tarehe hiyo 18/12 Ijumaa, Ni kweli Diwani wa Mbezi Juu CCM Mweshimiwa Anna Lukindo Alikuwa na Ratiba Yake ya Kuongea na wadau mbalimbali kwenye kata Yake. Lakini Siku hiyo Hiyo Mweshimiwa Gwajima Mbunge wa Kawe Naye alikuwa na Ratiba Yake ya Kuwashukuru Watukufu Wanawake wa Kiislam Kwa Kumpigia Kura Kama sehemu ya Mwendelezo wa Ratiba zake Za kuwashukuru makundi ya Wananchi Mbalimbali JIMBONI kwake Kwa Kumpa Kura.
Na Baada ya Shukrani Hizo Tulielekea Bunju B Kwa Mkesha wa Maulid siku.
Mkuu unakuwa ukimya.
Jibu nondo hiyo.
 
Mkuu unakuwa ukimya.
Jibu nondo hiyo.

Nadhani Nimenyoosha Taarifa sio Vema Kuendeleza Malumbano. Kwenye wengi Taarifa pia ni Nyingi. Mtoa Hoja alisema Ametonywa na mtu, Watu Hutonywa Mengi, lakini Ukweli ni kwamba Mweshimiwa Diwani alifanya Kikao Chake na Wadau Kwa Sababu ndio Ilikuwa Ratiba Yake na Mweshimiwa Mbunge tulikuwa Naye akifanya Ratiba zake. Kila mtu alikuwa Kwenye Ratiba zake akiwatumikia Wananchi! Asanteni
 
Nadhani Nimenyoosha Taarifa sio Vema Kuendeleza Malumbano. Kwenye wengi Taarifa pia ni Nyingi. Mtoa Hoja alisema Ametonywa na mtu, Watu Hutonywa Mengi, lakini Ukweli ni kwamba Mweshimiwa Diwani alifanya Kikao Chake na Wadau Kwa Sababu ndio Ilikuwa Ratiba Yake na Mweshimiwa Mbunge tulikuwa Naye akifanya Ratiba zake. Kila mtu alikuwa Kwenye Ratiba zake akiwatumikia Wananchi! Asanteni
Nimekereka unasema ati uongo, hiyo kadi inakuumbua.

Sisi tumeshabikia sana Mb Gwajima, kutofika kulipunguza matumaini.
 
Back
Top Bottom