MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,913
- 9,012
Mwanasiasa hawezi kuwaheshimu Raia wakati siyo waliomweka hapo alipo.Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!
Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha ka doa.
Si mwanzo mzuri.
Hapo Magufuli ndio kila kitu kwa Gwajima maana ndiye mwenye uwezo wa kubadili hatma yake, ninyi mpo tu kama ngazi.