Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Gwajima kwao ni MbeyaAskofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!
Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha doa.
Si mwanzo mzuri.
n.b.
Nimetonywa na mdau aliyekuwepo.