Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Askofu Gwajima unaanza vibaya!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,562
Reaction score
28,524
Askofu Gwajima ijumaa iliyopita 18/12/2020 umeita wadau ili kubadilishana mawazo juu ya kero na maendeleo ya wa kazi, Mbezi Juu.
HUKUTOKEA!

Alijitahidi Diwani kukulinda lakini kwa waalikwa limeacha doa.

Si mwanzo mzuri.
n.b.
Nimetonywa na mdau aliyekuwepo.
 
Back
Top Bottom