Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Huyu jamaa hata akiacha uchungaji hatokufa njaa maana ana kipaji sana cha maigizo. Ananikumbusha pinda livoact kulia mjengoni ili kuwahadaa albino.
 
Sitaki kuingia kwenye haya malumbano ambayo tayari yameshageuka kashfa kejeli na matusi kwenye imani za watu

Ninachokikosoa mimi ni heading ina mushkeli mkubwa KUPOOZA SI JAMBO DOGO HATA SIKU MOJA
Hii ni dhihaka kwa Mungu na ni upofu wa kiimani, kuishiwa na nguvu ghafla si jambo geni limeshawatokea wengi ni swala la kitabibu na afya, na mara nyingi husababishwa na msukumo wa damu kuongezeka ghafla au kushuka ghafla, na hata sukari ikipungua mwilini huleta hiyo hali

Kikwete ilimtokea kwenye kampeni, Mugabe pia, Hilary Clinton pia, na wengine wengi tu

KUPOOZA jambo kubwa jamani, acheni utani na dhihaka! Kwanza ni daktari gani alithibitisha hilo? Tuwe na mapenzi na kitu lakini kisizidi mpaka kutupa upofu wa kifikra
 
Ili uwe mfuasi wa gwajima lazima uwe zezeta , zuzu na upungufu wa akili huku ukiishi kama msukule.....kwa kuwa mambo mengi yanayotendeka huko ni wendawazimu peke yao ndio huyakubali......kama wewe ni mfuasi wa huyo jamaa jitathmini mara mbili kabla hujawa msukule wake.....
 
Jamaa anaigiza kweli watu wake wote kawafanya mazuzu kabisa.
 
Enye makafi...ri nani kawaloga na elimu zenu bado mnadanganywa kama watoto

Vipi kuhusu yule aliyewadanganya kwamba anafuata mila ya Ibrahimu ya kutahiriwi huku mwenyewe akifa na nyama ya govi lake ?
 
ushauri wa bure na wa kitaalam,

gwajima asilazimishe kutembea ili aonekane shujaa,anajiumiza sana

kwa kawaida tatizo la stroke au kiharusi likishatokea madhara yake yana pungua kidogo kidogo.

afanye mazoezi kwa utaratibu kidogo kidogo.mild stroke aliyo ipata effect yake inaindoka taratib.

ajitahidi kunywa sawa alizopewa kuzuia attack nyingine na pia ajitahidi kupumzika, akiwa stressed tena sio vizuri kwa afya yake.

asiji over stretch ili watu wamshangilie.apumzike tu.

na msamaha asisahau kuomba kwa askofu anayetambulika duniani kote,askofu pengo
 
Mungu anaweza yote, lililo gumu kwetu kwake ni dogo sana.
 
Hizi sanaa kwa kupitia jina la Mungu, walau basi kidogo tumuogope na kuuheshimu uumbaji wake.
 
Enye makafi...ri nani kawaloga na elimu zenu bado mnadanganywa kama watoto

Eh watu msio na imani mna tabu, Yesu alisema "ikiwa hawatamwamini mussa na manabii, hata mtu akifufuka toka wafu hawatamwamini," Na aliyefufuka toka wafu Ni Yesu mwenye injili, na mnashindwa kuamini. Kufumba na kufumbua Gwajima alikuwa kilema, nanyi mliamini na kufurahi ;Kufumba na kufumbua Gwajima mungu amemsimamisha, hapo hamwamini kwa kuwa hata hamjui nguvu ya mungu anayemtumikia. mlitaka abaki kwenye kiti milele. Imeandikwa "hakuna silaha juu ya mtumishi itakayofanikiwa" poleni kwa mioyo yenu isiyoamini, halafu mnadai mnaeza mkaamini ipo pepo mtakayoenda, mnaingia kwa imani gani, na Mungu mwenye nguvu gani? . Kama hana nguvu ya kukuponya, nguvu ya kukupeleka peponi haitoe wapi?
 
Enyi watumishi wa Mungu acheni kujikweza! Gwajima kweli amewahi kufufua watu? Gwajima kweli, amewahi kuponya wagonjwa? Kwa elimu yangu ndooogo ya Dini, naamini hayo yanawezekana tu kwa "Jina la Yesu"! Sasa hii habari ya "nilifufua watu" ooh "niliponya Wagonjwa " inatokea wapi?
 
ukila nguruwe lazima akili yako iwe imevulugwa lazima utaamini hata usanii, yesu aliyatoa mapepo akayarusha kwa nguruwe
 
Siku hizi movie za ukweli zinachezwa na wachungaji maaskofu manabii na mitume ya kikristu! Wale kina van dame walikua wanatuibia tu

Kweli kabisa.
Halafu bure
Yani burudani sana. Hata za nigeria hazikaribii. Manake za kwetu ni reality tv
 
Enyi watumishi wa Mungu acheni kujikweza! Gwajima kweli amewahi kufufua watu? Gwajima kweli, amewahi kuponya wagonjwa? Kwa elimu yangu ndooogo ya Dini, naamini hayo yanawezekana tu kwa "Jina la Yesu"! Sasa hii habari ya "nilifufua watu" ooh "niliponya Wagonjwa " inatokea wapi?
ukila nguruwe lazima akili yako iwe imevulugwa lazima utaamini hata usanii, yesu aliyatoa mapepo akayarusha kwa nguruwe
 
Tasnia ya Maigizo Tz inazidi kukua. Hongereni wasanii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom