Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Ama kweli wajinga hua wajinga tu hata awe na PhD madhali ni mjinga ataendelea kua mjinga

kwa maigizo haya nimeanza kumwamini Emmanuel mbasha na huenda ni kweli alimnyanganya mke!
kwa haya anaweza lolote ni hatari!
 
ilikuwa katika ibada ya pasaka ambapo askofu gwajima akielezea habari ya kupoteza fahamu. Miguu yake ilitetemeka, akasikika akiwaomba wachungaji wake wamshike mkono wa kuume, akisema nataka kutembea, yesu nimechoka kukalia kiti cha vilema, heri kufa kuliko kukaa hapo. Nimefufua wafu na kuponya wagonjwa siwezi mimi kukaa hapo. Mara akasema, nasikia sauti inasema 'mimi nimeushinda ulimwengu' akaendelea 'roho wa mungu yu juu yangu' ilikua ni jambo la kupendeza sana, bishop akaanza kutembea mwenyewe. Hallelujah

yote n vema
hakuna mwenye akili yoyote yule anayeweza amni.....
Kama na ujasiri wa kumtukana pengo......watawala wanavyodai aliyemjeruhi dr.ulimboka alitokea kwenye kanisa lake((((((kwa mujibu wa kova)))))))))))))))

mbona hajawahi hata siku moja kukubali wala kukanusha

yesu siku hizi amekuwa mtaji...ukiweza cheza vizuri karata yako inalipa saanaaa
 
yote n vema
hakuna mwenye akili yoyote yule anayeweza amni.....
Kama na ujasiri wa kumtukana pengo......watawala wanavyodai aliyemjeruhi dr.ulimboka alitokea kwenye kanisa lake((((((kwa mujibu wa kova)))))))))))))))

mbona hajawahi hata siku moja kukubali wala kukanusha

yesu siku hizi amekuwa mtaji...ukiweza cheza vizuri karata yako inalipa saanaaa

Una uhakika na uliloandika hapa? no research no right to speak. hilo swala la huyo mtu aliyemjeruh ulimboka alishalupinga Zamani Sana baada ya kova kutamka kwenye vyombo vyahabari jwamba Hugo MTU alienda kuungama kwa gwajima.gwajima alipinga na akasema kanisani kwake hakuna utaratibu wa kuungama so hiyo habari haikuwa kweli
 
Una uhakika na uliloandika hapa? no research no right to speak. hilo swala la huyo mtu aliyemjeruh ulimboka alishalupinga Zamani Sana baada ya kova kutamka kwenye vyombo vyahabari jwamba Hugo MTU alienda kuungama kwa gwajima.gwajima alipinga na akasema kanisani kwake hakuna utaratibu wa kuungama so hiyo habari haikuwa kweli

Nadhani
umekurupuka
wewe reseach unaijua.....unge support uliyoyandika kwa fact basi
binafsi utafiti haujawahi kuwa shida kwangu
so kwa hilo sina tatizo.....kinachoumza ni nyie mnaovuliwa akili na kuvishwa akili za kukaririswa TU
 
joseph kibweteere in the making ..
 
Una hakika na maneno yako kwamba hajawahi kukanusha au unaweweseka na wimbi la maroho ya 666?

Kova alisema huyo ni mshirika wa kanisa la Gwajima!!!!!!!!!!!. Ulimsikia wewe mwenyewe au unadandia treni kwa mbele?

Ebu tuongee, unaamini kuna Mungu?

Kama unaamini kuna Mungu, unamtofautishaje Mungu na wataalam wa falsafa, wanasayansi na intellectuals wenye IQ kubwa?

Ebu andika hapa mambo ambayo unaamini Mungu hawezi kufanya.

Ninaomba unijibu kwa ufahamu na kumaanisha. Ninataka nifahamu kama chuki na kebehi zako kwa Gwajima ni bahati mbaya au kina msukumo mwingine usiowekwa wazi.

yote n vema
hakuna mwenye akili yoyote yule anayeweza amni.....
Kama na ujasiri wa kumtukana pengo......watawala wanavyodai aliyemjeruhi dr.ulimboka alitokea kwenye kanisa lake((((((kwa mujibu wa kova)))))))))))))))

mbona hajawahi hata siku moja kukubali wala kukanusha

yesu siku hizi amekuwa mtaji...ukiweza cheza vizuri karata yako inalipa saanaaa
 
Wewe ndiye umekurupuka.

Totoresha mungu mpya atakayeoperate kwenye sphere ya akili zako, ili um control na afanye yale unayotaka na kuyaweza. Au wewe mwenyewe uwe mungu ili uwe unaongea kwa kofia ya mungu, kwamba lippi unaliweza na kulijua na lipi hulijui.

Nadhani
umekurupuka
wewe reseach unaijua.....unge support uliyoyandika kwa fact basi
binafsi utafiti haujawahi kuwa shida kwangu
so kwa hilo sina tatizo.....kinachoumza ni nyie mnaovuliwa akili na kuvishwa akili za kukaririswa TU
 
Hapo kapandisha mori 2., keshi ICU.......!
CC Frola Mbasha
 
Ze comedy wakaombe script kwa jamaa! Huyu jamaa ana vituko aisee,
 
Zinzi kubwa hilo roho wa bwana yu juu yake yy YESU?au mtoa mada u mmoja wa misukule yake?
Maana huwezi leta habari ya jitu kama hilo unafananisha na Yesu,ulishasikia askofu au mchungaji mwenye akili timam akajilinganisha na Yesu?au huelewi yy alisema ni Alfa na Omega?sasa roho ya bwana I juu ya gwajima????? Nami I juuu yangu
 
Inanikumbusha ile movie inaitwa "A man called God" yule general baada ya kufanyavuovu jeshini akaamua kuishi kwa kutembelea wheel chair ili kuficha uovu wake but alikuja kuumbuka alipoingizwa kwny jengo lililowashwa moto akatembea mwenyewe na kujisahau kwamba ana pretend mlemavu.
Naona Gwajima ame copy idea but kabla hajaumbuliwa sasa hv anajifanya amejiombea na amepona. That's how you can use ideas from the movie and brings it in a real life.
 
Afadhali mungu amejidhihirisha mwenyewe yupo upande gani. Ni kweli Yesu alisema "Mwivi hali bali ili aue, achinje na kuharibu lakini Yesu amekuja wawe na uzima tele. Siku zote shetani huanza halafu mungu hupindua

Siku nyingine ukiandika jina la Mungu uanze na herufi kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom