Eh watu msio na imani mna tabu, Yesu alisema "ikiwa hawatamwamini mussa na manabii, hata mtu akifufuka toka wafu hawatamwamini," Na aliyefufuka toka wafu Ni Yesu mwenye injili, na mnashindwa kuamini. Kufumba na kufumbua Gwajima alikuwa kilema, nanyi mliamini na kufurahi ;Kufumba na kufumbua Gwajima mungu amemsimamisha, hapo hamwamini kwa kuwa hata hamjui nguvu ya mungu anayemtumikia. mlitaka abaki kwenye kiti milele. Imeandikwa "hakuna silaha juu ya mtumishi itakayofanikiwa" poleni kwa mioyo yenu isiyoamini, halafu mnadai mnaeza mkaamini ipo pepo mtakayoenda, mnaingia kwa imani gani, na Mungu mwenye nguvu gani? . Kama hana nguvu ya kukuponya, nguvu ya kukupeleka peponi haitoe wapi?