mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,191
Kipofu wa kiroho hawezi kuelewa kitu,hivyo usibishane naye.
ebu acha kuwa mpuuzi wewe kuna siku atakufungia ndani na kukutia kiberiti ili uende peponi amka wewe usiwe kilaza
Kipofu wa kiroho hawezi kuelewa kitu,hivyo usibishane naye.
Alivyokuwa kiwete mbona mliamini? Madaktari walidhibitisha alipoteza fahamu, na Madaktari wa jeshi walidhibitisha alikuwa na presha juu sana, hilo linaeza leta kupooza hata upofu. Hao nao hamuwaamini? Sasa kwa sababu mungu amemponya, hamuelewi, muujiza umekuwa kikwazo kwenu . "jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni" kikwazo kwa wasioamini
Alivyokuwa kiwete mbona mliamini? Madaktari walidhibitisha alipoteza fahamu, na Madaktari wa jeshi walidhibitisha alikuwa na presha juu sana, hilo linaeza leta kupooza hata upofu. Hao nao hamuwaamini? Sasa kwa sababu mungu amemponya, hamuelewi, muujiza umekuwa kikwazo kwenu . "jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni" kikwazo kwa wasioamini
yote n vema
hakuna mwenye akili yoyote yule anayeweza amni.....
Kama na ujasiri wa kumtukana pengo......watawala wanavyodai aliyemjeruhi dr.ulimboka alitokea kwenye kanisa lake((((((kwa mujibu wa kova)))))))))))))))
mbona hajawahi hata siku moja kukubali wala kukanusha
yesu siku hizi amekuwa mtaji...ukiweza cheza vizuri karata yako inalipa saanaaa
Ilikuwa katika ibada ya pasaka ambapo askofu Gwajima akielezea habari ya kupoteza fahamu. Miguu yake ilitetemeka, akasikika akiwaomba wachungaji wake wamshike mkono wa kuume, akisema nataka kutembea, Yesu nimechoka kukalia kiti cha vilema, heri kufa kuliko kukaa hapo. Nimefufua wafu na kuponya wagonjwa siwezi mimi kukaa hapo. Mara akasema, nasikia sauti inasema 'mimi nimeushinda ulimwengu' akaendelea 'roho wa mungu yu juu yangu' ilikua ni jambo la kupendeza sana, Bishop akaanza kutembea mwenyewe. Hallelujah
Bible inaongelea kuhusu makanisa ya private ??
ha ha haaa usanii mwingine hadi aibu.
Sijui huyo dada hapo naye alifufuliwa.
mkuu,wameshashindikana hao,bora jamaa liendelee kukamua pesa
Msamaha wa pengo ndio umemfanya apone. Pengo ni mtumishi wa mungu kweli kweli! Akuna dini duniani inayofundisha kutukana kama alivyofanya gwajima.
Amepona kanisani kwake, si kwa pengo, kwanza Catholic hamponyagi wagonjwa, ndio mnaitaga Padre awatie upako wa wafu, mnaambiwa wa kifo chema, halafu mnaitikia amen huku mnalia. Yesu alisema "fufueni wafu, ponyeni wagonjwa, toeni pepo" hakusema wapeni kifo chema... Haloo! Bwana awe nanyiiii!.... Nirudishie huo mbaraka
Bible inaongelea kuhusu makanisa ya private ??