Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Askofu Gwajima atembea tena baada ya kupooza

Gwajima nabii wa uongo....nani alimpa huo uaskofu.?

Uaskofu si chochote, maana si karama anayeitoa Yesu, ni cheo cha uangalizi tu. Anaeza akajivua uaskofu lakini ishara, uponyaji, miujiza haviwezi koma. Na askofu si lazima uongoze kanisa. Karama za huduma za Kristo ni tano tu, utume, unabii, uinjilisti, ualimu na uchungaji. Uaskofu ni cheo ambacho mkristo yoyote anaweza kuapply akiwa na vigezo vya kimaadili
 
Ilikuwa katika ibada ya pasaka ambapo askofu Gwajima akielezea habari ya kupoteza fahamu. Miguu yake ilitetemeka, akasikika akiwaomba wachungaji wake wamshike mkono wa kuume, akisema nataka kutembea, Yesu nimechoka kukalia kiti cha vilema, heri kufa kuliko kukaa hapo. Nimefufua wafu na kuponya wagonjwa siwezi mimi kukaa hapo. Mara akasema, nasikia sauti inasema 'mimi nimeushinda ulimwengu' akaendelea 'roho wa mungu yu juu yangu' ilikua ni jambo la kupendeza sana, Bishop akaanza kutembea mwenyewe. Hallelujah

anauwezo mpaka wa kufufua watu? kufufua kivipi? maana vifo vina tafsiri nyingi katika scenario tofauti tofauti
 
Ilikuwa katika ibada ya pasaka ambapo askofu Gwajima akielezea habari ya kupoteza fahamu. Miguu yake ilitetemeka, akasikika akiwaomba wachungaji wake wamshike mkono wa kuume, akisema nataka kutembea, Yesu nimechoka kukalia kiti cha vilema, heri kufa kuliko kukaa hapo. Nimefufua wafu na kuponya wagonjwa siwezi mimi kukaa hapo. Mara akasema, nasikia sauti inasema 'mimi nimeushinda ulimwengu' akaendelea 'roho wa mungu yu juu yangu' ilikua ni jambo la kupendeza sana, Bishop akaanza kutembea mwenyewe. Hallelujah
Hii filamu itauza, ni juhudi za kuongeza misukule, anajua kutumia nafasi, ndani ya sakata anavuta wafu kwa gia ya kuchoka kukalia kiti cha vilema maana vilema sio watu, tena anamwambia Yesu, tena kwa maneno makali "vilema" siangewaita walema tu
 
anauwezo mpaka wa kufufua watu? kufufua kivipi? maana vifo vina tafsiri nyingi katika scenario tofauti tofauti

Kwani kufufua wafu ni jambo la kustaajabisha? Inategemea imani yako imeanzia wapi? Kama ni kwa mungu halafu kwa mtumishi, haitakuwia vigumu kuamini, lakini kama ni kwa mtumishi halafu kwa mungu bila shaka kwako, imani itakua ni mchezo mchafu kama siasa.
Mliamini sana Hayo majoho na kofia ndefu, badala ya kumuamini mwenyewe kwanza, sasa imani kwenu imekuwa mlima wa kukwaza, hata mkiona mkono wa mungu mioyo yenu hutiwa giza
 
anauwezo mpaka wa kufufua watu? kufufua kivipi? maana vifo vina tafsiri nyingi katika scenario tofauti tofauti

Vifo vinaeza kuwa na tafsiri nyingi ndio, Wewe uniulize 'Yesu aliwafufua wafu wa tafsiri gani?
 
Dah! Kweli dini zingine bora hata ya wavuta bange.
 
Hii filamu itauza, ni juhudi za kuongeza misukule, anajua kutumia nafasi, ndani ya sakata anavuta wafu kwa gia ya kuchoka kukalia kiti cha vilema maana vilema sio watu, tena anamwambia Yesu, tena kwa maneno makali "vilema" siangewaita walema tu

Vilema ni vilema, albino ni albino, mwasirika ni mwasirika, kosa liko wapi, Yeye alisema hataki ukilema
 
Watanzania tutaelemika lini na kuwaacha kuwapelekea pesa (sadaka) wasanii kama hawa .Hili nalo linahitaji akili kulipambanua kweli kuwa jamaa ni Tapeli Ujinga wetu utatafanya watumwa daima

unaangamia kwa kukosa maarifa
 
Haya maigizo sasa....ndo yale wengine tulikuwa tunatazama filamu za yesu tangu wadogo na picha tunabandika tunakuwa tukiamini ndo Yesu hadi tunakuwa wakubwa mnatuambia mtu alikuwa anaigiza anaitwa nani sijui huko......Watu Image zilishakaa sana kichwani.....kumbe ilibidi tangu wadogo tufundishwe kwamba yule ni jamaa tu anaigiza....leo tena mnataka mtuaminishe Gwajima anafufua wafu...na vilema wanapona....Hakuna nitakayemwani tena Zaidi ya kujiamini mimi na Mungu wangu tu...
 
Duuuh,,,yeye(Gwajima) amefufua wafu na kuponya watu.

Kazi kweli!!!!
 
Ilikuwa katika ibada ya pasaka ambapo askofu Gwajima akielezea habari ya kupoteza fahamu. Miguu yake ilitetemeka, akasikika akiwaomba wachungaji wake wamshike mkono wa kuume, akisema nataka kutembea, Yesu nimechoka kukalia kiti cha vilema, heri kufa kuliko kukaa hapo. Nimefufua wafu na kuponya wagonjwa siwezi mimi kukaa hapo. Mara akasema, nasikia sauti inasema 'mimi nimeushinda ulimwengu' akaendelea 'roho wa mungu yu juu yangu' ilikua ni jambo la kupendeza sana, Bishop akaanza kutembea mwenyewe. Hallelujah

gwajima ni comedian mzuri sna kama joti ana jua kusoma saikolojia za watu na kuwapa kitu ile roho inapenda coz he knew akijifanya ameweza kutembea kwa kuponywa atajiongezea umaarufu kwa waumini wake finally he did...ha ha ha gwajima is more than a "comedian"
 
gwajima ni comedian mzuri sna kama joti ana jua kusoma saikolojia za watu na kuwapa kitu ile roho inapenda coz he knew akijifanya ameweza kutembea kwa kuponywa atajiongezea umaarufu kwa waumini wake finally he did...ha ha ha gwajima is more than a "comedian"

Sure Genius, hata polisi na Madaktari ni makomedian wazuri kama joti, walijua wakidanganya alifeki kuzimia na Madaktari walifeki kusema presha ilipanda juu ili waungane naye aweze kuzinduka hawezi kutembea, halafu asimame kwa jina la yesu, wazidi kupata ulaji, safari hii awanunulie jet fighter. Excellent, good brilliant boy
 
Sure Genius, hata polisi na Madaktari ni makomedian wazuri kama joti, walijua wakidanganya alifeki kuzimia na Madaktari walifeki kusema presha ilipanda juu ili waungane naye aweze kuzinduka hawezi kutembea, halafu asimame kwa jina la yesu, wazidi kupata ulaji, safari hii awanunulie jet fighter. Excellent, good brilliant boy

Wajinga ndio waliwao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom