Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

kunukuu maandiko kwenye biblia nayo kesi?
Ila Gwajima alikosea kumfananisha mwenzake na mtoto anaevishwa pempers,mengine yupo sawa ila la pempers,sijui nimempa vidonge vyake jamani sio busara kabisa.
 
Pamoja na leo kipande cha sauti kusambaa kuwa Gwajima angejisalimisha Jumatatu kwa kuwa kwa sasa yupo Arusha na kuwataka waumini wake kufika polisi Jumatatu bila kufanya vurugu. Kwa sababu ambazo hazijatolewa bado, askofu Gwajima amejisalimisha kituo cha Polisi tayari leo Ijumaa ili kuhojiwa juu ya kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Audio: Askofu Gwajima awajibu Polisi Kuhusu kuitwa aende kujieleza


This man is brainlessly stup.....id!
 
Sasa ewe sijui tukueleweje..
kauli uliyoitumia ndio hyo hyo iliyotumika..so..na ewe watukana. haya tupe sababu za kutakana kwako..

Tusi liko wapi hapo?

1.Vilaza au

2.Uhuni.

Tafuta kamusi usome maana zake halafu uhusishe na tabia za Gwajima na waumini wake.
 
Laana ya uongo wake wa kufufua misukule na uzinifu imeshaanza kumtafuna chezea bwana yesu wewe na bado mpaka atubu
 
Inashangaza sana kwa Gwajima jinsi alivyofilisika kimaadili kuona kwamba matusi aliyoyatoa yanatoka katika maandiko matakatifu. kweli yatupasa kuomba Mungu atuepushe na wahuni hawa katika jamii.
 
Leo asubuhi nilibahatika kusikia matamshi ya Gwajima kupitia Redioni!! Kwakweli ni aibu sana kuwa na watu wa aina hii ya Gwajima katika Kanisa, inawezekana kweli alikerwa na hicho Kadinari Pengo alichokisema lakini namna alivyo panikc na kutoa mahubiri ya kumkashifu Kadinari sio sawa, Sina uhakika kuwa kweli huyu ni mtu wa Mungu maana Bwana Yesu katika mafundisho yake alifundisha faida ya kuwa wapole na wanyenyekevu machoni pa watu hata Mbele za Mungu, Nadhani wafuasi wa haya Makanisa ya aina ya Gwajima ifike wakati wajiulize na wamuulize roho mtakatifu awafunulie kilichoko nyuma ya pazia kwa watumishi wanaowaongoza. Ni aibu sana kwa kanisa

Kwa hakina akina gwajima ni wahuni watupu walahi watu wangejua ukweli wangeshangaa sana!!!
 
Akanyee ndoo mpaka tumalize kupiga kura ya maoni ya katiba mzinifu wa wake za watu,cku ile alikunywa viroba ndio maana alikuwa anaropoka kama chizi
 
hiyo picha ni wewe...no wonder..
Haiwezekani kwa maneno aliyoyasema hadharani na yale aliyoyaeleza kwny ujumbe wa kuwajibu polisi huku akiwa amejaa kigugumizi yakawa yana uzito sawa. Binafsi bado nko na ukakasi wa haya makanisa yanayozidi kuongezeka kwa mgongo wa ubepari yakipora kidogo wananchi walicho nacho na kuwaneemesha waanzilishi inabidi tuamke wa Tanzania vingine tuvikatae na haihitaji akiri ya kuambiwa au kushauriwa kuona tupelekwako na hawa jamaa ambao kila jumapili tunawapelekea sadaka mwishowe wanajaza full tank kwny magari yao ya kifahari huku siye bado tunanukishana vikwapa kwny daladala tupandazo tena kwa kugombania.
Its geting too much n much kwa huu wizi na uzandiki tufanyiwao na hawa wezi na matapeli kwa njia ya biblia mpk leo wanatukanana madhehebuni na tukiwashangilia? Hii ndo nchi isiyo elezeka pale tunapopaswa kusema hapana tunashangilia kweli? Akili zetu si sawa hili na kiri na nadhan kuna haja ya wazungu kuja kutotolea huu upuuzi wao tuendelee na mila zetu za matunfuli
 
hahahahahhh! kweli wewe hamna kitu kichwani! unayajua makosa ya dhamana na yasiyo ya dhamana...bila shaka kwenye ukoo wako kuna mwanasheria...nenda kamuulize!
Sio mbaya Gwajima akishikiliwa mahabusu mpaka jumatatu
 
Kwani leo Jumatatu ama!! Nimesikiliza clip yake imetoka leo na amesema tukikusanyika Polisi Kati tusifanye vurugu.Katusaliti aise.

we sio mfuasi wake akusaliti kivipi. walio wafuasi wake wameielewa MOVE!!
umesikia wakilalamika?!
MLITAKA MUWAVIZIE NJIANI NA VIRUNGU. PICHA Ilishasomwa.
Heko jembe Gwajima
 
utapata tabu Emma kuwaelewa baadhi ya watu humu! yaani yanadhani ukishafikishwa polisi ni kuwekwa ndani tu, hayajui kuna taratibu ikiwa ni pamoja na kuhojiwa, na ukishahojiwa ukaonekana una kosa kuna issue ya dhamana! hawaelewi hata makosa yenye dhamana ni yapi na yasiyo ya dhamana ni yepi! yaan wamepania balaa Gwajima alale ndani hadi j3! dah! Watasubiri sana, hilo halitokei!
Atawekwa ndani na nani? Kwa kosa gani?
 
Ila wamependeza sana na suti zao' hasa hiyo ya njano
 
Kwani leo Jumatatu ama!! Nimesikiliza clip yake imetoka leo na amesema tukikusanyika Polisi Kati tusifanye vurugu.Katusaliti aise.

Alisema jumatatu ndio ila alisema pia kama atawah kutoka Arusha basi hata leo ataenda au lesho ila hakuwa na hakika juu ya siku hz mbili zaid ya juma 3 na ndio maana alikazia siku hyo
 
Gwajima aaaaaaa ni saa mbovu '' nashangaa naitwa polisi kwani nimewakemea polisi'' mimi ni kiongozi wa kiroho askofu na lile ni neno la kiroho nililolutoa kwa askofu mwenzangu'''
 
heri mwenye matatizo anayejijua ana matatizo...maana ataanza utaratibu wa kuyasolve! kuliko wewe mwenye matatizo hadi kwenye kucha halafu hujijui..yaan unajiona upo sawa! amani tele, kumbe shimo lipo mita chache tu mbele..subiri udumbukie..!
Wangempumzisha lock up kwanza ili akili ikae sawa.

Uhuni wake uishie hukohuko kwa hao vilaza wake wenye frustrations za maisha.
 
Back
Top Bottom