SiimaK
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 340
- 158
Pale hakuna cha kesi wala nini wanamsumbua tu... busara ikimpungua mtu basi hudharirika... polisi watadharirika katika hili.. hakuna kilichosemwa kina madhara yoyote yale... mpuuzi, mpumbavu.. mjinga sio matusi... serikali wanakosa busara... pengo katumiwa na wanasiasa na wenzake wamesha litambua hilo so hayo ndio alistahili kuyapata...
Ukiitwa wewe hivyo utafurahi?