Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Pale hakuna cha kesi wala nini wanamsumbua tu... busara ikimpungua mtu basi hudharirika... polisi watadharirika katika hili.. hakuna kilichosemwa kina madhara yoyote yale... mpuuzi, mpumbavu.. mjinga sio matusi... serikali wanakosa busara... pengo katumiwa na wanasiasa na wenzake wamesha litambua hilo so hayo ndio alistahili kuyapata...

Ukiitwa wewe hivyo utafurahi?
 
Tumia akili wewe, sasa wamemfanyaje kaenda wamebaki kumchekea tu majinga hao
hata nikikuelewesha akili ya kuelewa hauna, ila yapo mashimo mbele yako..ukidumbukia ndo akili itakukaa sawa. soma kwa makini post ya mwanzo kama bado una chembe ya akili utaelewa namaanisha nini! au subiri kesho viroba vikiwa vimeisha kicwani ndo usome..kilaza mlevi
haya huyo Mtume wenu MZINZI leo yupo wapi na majigambo yake?
ukijua ya huuuuu wenzako wanajua ya hooooooo
MWISHO WA GWAJIMA NDIO HUO SASA LAANA KIBAO ALIZOWAKWAZA WATU SASA ZIMEMFIKA
 
SAHAU! jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. mbona ndo kwanza kumekucha! yaan atakuwa juu zaidi ya mwanzo. wait and see! Na Gwajima ana uhusiano na baraka tu! laana zinakuhusu wewe
haya huyo Mtume wenu MZINZI leo yupo wapi na majigambo yake?
ukijua ya huuuuu wenzako wanajua ya hooooooo
MWISHO WA GWAJIMA NDIO HUO SASA LAANA KIBAO ALIZOWAKWAZA WATU SASA ZIMEMFIKA
 
SAHAU! jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. mbona ndo kwanza kumekucha! yaan atakuwa juu zaidi ya mwanzo. wait and see! Na Gwajima ana uhusiano na baraka tu! laana zinakuhusu wewe
HUYO JAMAA YAKO (gwajima) ana maadui wengi na wengine amezaa na wake zao kwanini wasiwamwagie ----- POLISI
si salama utakuweje MTUME uhojiwe kuhusu wizi wako, kutumwa / kujiunga na wanaSiasa. kuwa na a/c na vyanzo vya kutisha vya hela (kumbuka kauli ya Emmanuel Mbasha huyu Mtumishi anajihusha na Madawa ya kulevya)nakujipatia mali za wizi.
huyu atawadanganyeni nyie, kwani walipoanza kumhoji POLISI wenye taaluma ya Saikolojia ndugu marafiki na Wachungaji wenzake (Pastor Yekonia Behanaze) wakaja juu kwanini?
The sources explained further that other issues the bishop was asked by police to explain during the interrogation was his relationship with some prominent politicians and bank accounts he possessed, including the source of money.

"The interrogation with police started very well but when police began questioning him about his wealth is when his health status suddenly changed as he was sweating profusely," the police sources confided to the Guardian on Sunday's sister paper-Nipashe.

Gwajima's aide identified as Pastor Yekonia Behanaze confirmed the information from police sources, saying questions about Gwajima's wealth were indeed asked by police.
Pastor Behanaze complained about the manner in which police questioned his boss, saying it was inhumane.

"You know most of the questions focus on Bishop Gwajima's wealth something we think was improper,' he said.
Home

pic+gwajima.jpg
 
yote uliyoongea hapo, kwangu mimi ni pumba, is just hearsay!...oh sijui mbasha upuuzi gani...oh madawa ya kulevya! all those are nonsense! hata wewe siku ukitungiwa ma-case ndo utaelewa! muulize Jerry Muro! unaniuliza eti inakuwaje mtume uhojiwe wizi, sijui siasa ..wizi wa nini sasa? hata hujui alichohojiwa! ila hata mitume 12 wa Yesu kila siku walikuwa mabarazani kujibu kesi kibao za kutungiwa, kwa hiyo Gwajima si wa kwanza (soma Matendo ya mitume yote in Bible upate maarifa). sio unakurupuka na pointless. ila all in all time will tell! kila kitu kitakuwa wazi, i cant wait 4 that time! 4 the time being...endeleeni kutukana
HUYO JAMAA YAKO (gwajima) ana maadui wengi na wengine amezaa na wake zao kwanini wasiwamwagie ----- POLISI
si salama utakuweje MTUME uhojiwe kuhusu wizi wako, kutumwa / kujiunga na wanaSiasa. kuwa na a/c na vyanzo vya kutisha vya hela (kumbuka kauli ya Emmanuel Mbasha huyu Mtumishi anajihusha na Madawa ya kulevya)nakujipatia mali za wizi.
huyu atawadanganyeni nyie, kwani walipoanza kumhoji POLISI wenye taaluma ya Saikolojia ndugu marafiki na Wachungaji wenzake (Pastor Yekonia Behanaze) wakaja juu kwanini?
Home

pic+gwajima.jpg
 
Ni uchizi tu huu,kwana ana kashfa ya mke wa Mbasha,anatafuta umaarufu tu,hivi mbona Yesu hakufanya mambo ya kipuuzi kama haya au ndio wapinga kristu hawa,ni ujinga tu huu,anashindwa kuwakemea mafisadi anamkemea Pengo au kstumwa huyu!
 
uchizi wanao mapadri wenu wanaolawiti wavulana wanaotumikia kanisani! inshort mapadri wenu wanachangia ongezeko la mashoga duniani! so usijishaue!
Ni uchizi tu huu,kwana ana kashfa ya mke wa Mbasha,anatafuta umaarufu tu,hivi mbona Yesu hakufanya mambo ya kipuuzi kama haya au ndio wapinga kristu hawa,ni ujinga tu huu,anashindwa kuwakemea mafisadi anamkemea Pengo au kstumwa huyu!
 
Back
Top Bottom