Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Polisi wa Tanzania ni wa spft targets tu. Mbona kule Amboni waligwaya, mbona juzi waliwagwaya wale majambazi wa Kitaliano, mbona wamemgwaya kumhoji Mangula. Polisi wajue wanafanya kazi kwa mikataba hawana hata security of employment, muda si mrefu watarudi uraiani huko ndio watajua upolisi ni kazi au u-toilet paper.
 
Gwajima ni kama komandoo flani,amewachenga vizuri sana,maana hapo polisi walikuwa wamesha jiandaa mabomu,risasi na maji ya kuwasha ili walipe kisasi kwa waumini wake, yaani kawachenga vzr sana
 
Gwajima ni kama komandoo flani,amewachenga vizuri sana,maana hapo polisi walikuwa wamesha jiandaa mabomu,risasi na maji ya kuwasha ili walipe kisasi kwa waumini wake, yaani kawachenga vzr sana

walipe kisasi kwa waumini kwani polisi wametangaza wana ugomvi na waumini wa gwajima?
 
Leo asubuhi nilibahatika kusikia matamshi ya Gwajima kupitia Redioni!! Kwakweli ni aibu sana kuwa na watu wa aina hii ya Gwajima katika Kanisa, inawezekana kweli alikerwa na hicho Kadinari Pengo alichokisema lakini namna alivyo panikc na kutoa mahubiri ya kumkashifu Kadinari sio sawa,

Sina uhakika kuwa kweli huyu ni mtu wa Mungu maana Bwana Yesu katika mafundisho yake alifundisha faida ya kuwa wapole na wanyenyekevu machoni pa watu hata Mbele za Mungu,

Nadhani wafuasi wa haya Makanisa ya aina ya Gwajima ifike wakati wajiulize na wamuulize roho mtakatifu awafunulie kilichoko nyuma ya pazia kwa watumishi wanaowaongoza. Ni aibu sana kwa kanisa

Wewe unajifanya wa kiroho lakini hujui chochote, wewe Ni mbulula wa mwisho
 
Polisi wana helicopta na Gwajima anayo,nani zaidi?wazipaishe angani tujue mkali nani!
 
Gwajima ni kama komandoo flani,amewachenga vizuri sana,maana hapo polisi walikuwa wamesha jiandaa mabomu,risasi na maji ya kuwasha ili walipe kisasi kwa waumini wake, yaani kawachenga vzr sana

Komandoo wa wapi? Kagusa pabaya mwambie ataumia tu
 
Acha uwongo wewe jamaa kasema yuko Arusha...Pengo mtu wa system kitambo sana lazima aheshimiwe! Alikua mshauri wa bwn Nkapa!

Ndo maana anaitwa mnafiki, toka lini yesu alikuwa mshauri wa mfalme herode, au pilato
 
Wampime na DNA ili tuwe na uhakika mtoto wa Flora ni wake
 
kumbe ndo huyo mwenye kipara...!.sasa kwanini ana sura ya kijambazi?
aliofatana nao pia ukiachia huyo dogo anaetabasamu,wako kama ma gangster

Mi nilishangaa yale matusi lakini baada ya kuona picha yake nikaona wanaendana kabisa
 
Haiwezekani kwa maneno aliyoyasema hadharani na yale aliyoyaeleza kwny ujumbe wa kuwajibu polisi huku akiwa amejaa kigugumizi yakawa yana uzito sawa.

Binafsi bado nko na ukakasi wa haya makanisa yanayozidi kuongezeka kwa mgongo wa ubepari yakipora kidogo wananchi walicho nacho na kuwaneemesha waanzilishi inabidi tuamke wa Tanzania vingine tuvikatae

na haihitaji akiri ya kuambiwa au kushauriwa kuona tupelekwako na hawa jamaa ambao kila jumapili tunawapelekea sadaka mwishowe wanajaza full tank kwny magari yao ya kifahari huku siye bado tunanukishana vikwapa kwny daladala tupandazo tena kwa kugombania.

Its geting too much n much kwa huu wizi na uzandiki tufanyiwao na hawa wezi na matapeli kwa njia ya biblia mpk leo wanatukanana madhehebuni na tukiwashangilia?

Hii ndo nchi isiyo elezeka pale tunapopaswa kusema hapana tunashangilia kweli? Akili zetu si sawa hili na kiri na nadhan kuna haja ya wazungu kuja kutotolea huu upuuzi wao tuendelee na mila zetu za matunfuli
 
Wala hawatampata ng'o! Hayo ni mambo yaliyonenwa madhabahuni! Alafu, inabidi Pengo afungue kesi kwanza! Hii kesi ya sasa kafungua Kova!

Usibwabwajebwabwaje tu mdomo ! Kuna civil and criminal law...hii kesi ni sawa na ya kubaka mtoto. Mwenye mtoto akifungua kesi au asipofungua kesi, SERIKALI itafungua tu upende usipende.

Tuacheni maneno ya kanga na ngonjera hapa. Alichokifanya hata shetani anamshangaaa
 
Back
Top Bottom