Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Askofu Gwajima ajisalimisha kituo cha Polisi

Kama yule wa EFD aliyechochea kutolipa kodi kawekkwa ndani,basi huyu nae lazima wamuweke ndani!
 
Yaan polisi wamhoji kwa umakini kwa sababu haiwezekani akamtolea askofu pengo maneno na lugha yenye kashfa na kejeli yaliyojaa matus
 
Gwijama ajisalimisha polisi ni baada ya kumtusi kadinali pengo hadharani na kurekodiwa kisha kusambazwa mitandaoni,alipo kupinga tamko la maaskofu tanzania kuwataka waikatae na wapige kura ya hapana
Acheni upotoshaji alimtusi tusi gani?
 
Teh Teh Ngwajima atalala Jela mpaka jumatatu ndio atapata dhamana...
 
unnamed.jpg

attachment.php


 
Last edited by a moderator:
Acha uwongo wewe jamaa kasema yuko Arusha...Pengo mtu wa system kitambo sana lazima aheshimiwe! Alikua mshauri wa bwn Nkapa!
Kwani hakuna usafiri wa kusafiri kutoka Arusha mpaka kwa muda li saa ?
 
Wangempumzisha lock up kwanza ili akili ikae sawa.

Uhuni wake uishie hukohuko kwa hao vilaza wake wenye frustrations za maisha.



Sasa ewe sijui tukueleweje..
kauli uliyoitumia ndio hyo hyo iliyotumika..so..na ewe watukana. haya tupe sababu za kutakana kwako..
 
Back
Top Bottom