Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
namwona wakili john Malya eleventh cohort
Wangempumzisha rock up kwanza ili akili ikae sawa.
Uhuni wake uishie hukohuko kwa hao vilaza wake wenye frustrations za maisha.
Yeye si anajiita nabii,aende jela aone kama hatafuniki.
Wewe tangu ufanyiwe hivyo unafikiria kila mtu ni kama wewe!
"Rock up". Did you mean to say Lock up? Hii nayo shughuli. Hata hivyo wamtie ndani kwa nini?
Wewe u mwongo kabisa. Ukisikiliza maelezo ya Gwajima ameeleza tena mara mbili mbili kuwa ''kuna uwezekano wa kuripoti polisi kabla ya Jumatatu. BTW hapo hao viongozi wa polisi wanazidi kuonyesha upumbavu wao kwasababu hata hizo taratibu za kumwita zimelenga ''kucheza na akili'' za watanzania zaidi na si sheria. Huu ni ujinga tu wa polisi kukubali kufuata maagizo kama mbwa asiye na akiliPamoja na leo kipande cha sauti kusambaa kuwa Gwajima angejisalimisha Jumatatu kwa kuwa kwa sasa yupo Arusha na kuwataka waumini wake kufika polisi Jumatatu bila kufanya vurugu. Kwa sababu ambazo hazijatolewa bado, askofu Gwajima amejisalimisha kituo cha Polisi tayari leo Ijumaa ili kuhojiwa juu ya kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Audio: Askofu Gwajima awajibu Polisi Kuhusu kuitwa aende kujieleza
Huyu Gwajima alipofikia anaamini kabisa kuwa yeye ni mungu-mtu na hana dosari..wakati amegubikwa na kashfa za kuiba wake wa kondoozake
Si anajiita Gwajima subiri aende jela kama akurudi anaitwa Mwajuma.
Ile clip ina mengi ya kutafakari.......tuendako pabaya.Tusomeni alama za nyakati.Linaanza la wakiristo kwa wakiristo.
Mbona unahangaika sana Gwajima una bifu naye?Ule uwanja si kanisa ni public mace kama uwanja wa jangwani.Si jengo la kanisa lile.Kamtukana pengo kwenye uwanja wa wazi mbele ya watu wenye dini na wasio na dini kwenye eneo lisilokuwa la kidini la viwanja vya Tanganyika Packers visivyokuwa vya kidini.Pale hakuna madhabahu pana jukwaa mbele ya sheria.Ambapo alitumia hilo jukwaa kumtukana Pengo akijua fika kuwa pengo si muumini wa kanisa lake wala si kiongozi aliye chini yake akaamua kumporomoshea matusi ya nguoni wakati akjijua pengo hakuwemo humo kanisani kujitetea dhidi ya matusi aliyomporomoshea.
Si kesi zote za jinai lazima mtu aliyekashifiwa akashtaki.Mfano wewe ni askofu ukatukana waislamu hadharani kuwa mohamed alikuwa anakula nguruwe Waislamu wakaja juu.Polisi wanaweza kukufungulia mashtaka ya kutoa matamshi yanayoletelea uvunjifu wa amani bila mwislamu yeyote kupeleka mashtaka.
Kutukana pengo ni kuletelea uvunjifu wa amani kwa waumini wanaomheshimu Pengo.Hivyo Polisi kumfungulia mashtaka Gwajima ni sahihi.Pengo wala hahitaji kwenda polisi.
Gwajima ashikiliwe hadi jumatatu ili asizidi kuzua na kuporomosha matusi na tuhuma zitto.Ikumbukwe kuwa pamoja na kutafutwa ameendelea kutoa Audio za matusi kwa viopngozi ikiwemo aliyoweka leo.Kwa hiyo ili asiendelee na hayo ashilkiliwe hadi jumatatu
Si anajiita Gwajima subiri aende jela kama akurudi anaitwa Mwajuma.