NDAGLA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 2,490
- 1,357
heri mwenye matatizo anayejijua ana matatizo...maana ataanza utaratibu wa kuyasolve! kuliko wewe mwenye matatizo hadi kwenye kucha halafu hujijui..yaan unajiona upo sawa! amani tele, kumbe shimo lipo mita chache tu mbele..subiri udumbukie..!
Na wewe ni muumini na Gwajima siyo?
Moja ya mashimo ni huo uhuni wa Gwajima na ushabiki wa misukule wake.
Tukiwaacha mtukane watu bila kuwashughulikia mtatupeleka kusiko.
Hivi wafuasi wanaounga mkono maoni ya Pengo wakimfanyia fujo Gwajima huoni mtatusumbua tusio husika na huo upuuzi wenu.
Nyie mnaotanguliza ushabiki ndo mna matatizo.