MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Kiaskofu kina matusi hiki!
Acha uwongo wewe jamaa kasema yuko Arusha...Pengo mtu wa system kitambo sana lazima aheshimiwe! Alikua mshauri wa bwn Nkapa!Gwijama ajisalimisha polisi ni baada ya kumtusi kadinali pengo hadharani na kurekodiwa kisha kusambazwa mitandaoni,alipo kupinga tamko la maaskofu tanzania kuwataka waikatae na wapige kura ya hapana
Hana ubavu wa kuwapangia polisi aripoti lini.Walitoa order ajisalimishe mara moja. Jeuri yeyote ya kukataa na kujipangia angekiona cha mtema kuni.Hana ubavu wa kutishia nyau polisi huyo.Polisi wakiamua kula sahani moja na mtu hachomoki.
:sly::thumbup:
Ndio hao hao anaowasifia East African Eagle chini ya Mkuu wa Operseheni tuloambiwa anafanya Sabotagehawa polisi hawa polisi hawa hawa hawa...............
Sawa ngoja tuone kitakachoendelea.
we ndio haujui kitu unachobwabwaja.... tazama tena hiyo picha....umewaona ma-body guard walio nyuma yake ?
unawajua ? basi tulia usikilize movie nzima, kisha kajifiche chini ya kabati..
:sly::thumbup:
Pengoh+Pinder=?Kuna kitu hapa kati ya Waziri mkuu.....Pengo=hawa watu walisoma pamoja, wote ni wafipa, na ni marafiki sana, haingii akilini Pengo asaini makubaliano ya wakiristo then aende apinge hadharani.............
Hana ubavu wa kuwapangia polisi aripoti lini.Walitoa order ajisalimishe mara moja. Jeuri yeyote ya kukataa na kujipangia angekiona cha mtema kuni.Hana ubavu wa kutishia nyau polisi huyo.Polisi wakiamua kula sahani moja na mtu hachomoki.
Kiaskofu kina matusi hiki!
Kiaskofu kina matusi hiki!
we ndio haujui kitu unachobwabwaja.... tazama tena hiyo picha....umewaona ma-body guard walio nyuma yake ?
unawajua ? basi tulia usikilize movie nzima, kisha kajifiche chini ya kabati..
Code:
aogopi polisi wala bunge...
wachache wenye ujasiri huu.
Leo asubuhi nilibahatika kusikia matamshi ya Gwajima kupitia Redioni!! Kwakweli ni aibu sana kuwa na watu wa aina hii ya Gwajima katika Kanisa, inawezekana kweli alikerwa na hicho Kadinari Pengo alichokisema lakini namna alivyo panikc na kutoa mahubiri ya kumkashifu Kadinari sio sawa,Gwijama ajisalimisha polisi ni baada ya kumtusi kadinali pengo hadharani na kurekodiwa kisha kusambazwa mitandaoni,alipo kupinga tamko la maaskofu tanzania kuwataka waikatae na wapige kura ya hapana
ccm kweli mmeishiwa