heeeeh! hiyo mipovu inavyokutoka, nahisi chombo unachotumia kishaharibika! unapanic nini sasa? kwahiyo kila mtu aliyeboreka na pumba za Pengo ni muumini wa Gwajima? mbona umekariri..uwe unashirikisha ubongo kabla ya kuongea! halaf ooh vurugu.. mbona muoga sana,kwn wewe wa kike au wa kiume? hakuna vurugu yoyote itakayotokea mana huchelewi kukimbilia kijijini. halafu kuh shimo...mita chache mbele yako lipo, utadumbukia tu! hata ubishe hadi asbh!
Na wewe ni muumini na Gwajima siyo?
Moja ya mashimo ni huo uhuni wa Gwajima na ushabiki wa misukule wake.
Tukiwaacha mtukane watu bila kuwashughulikia mtatupeleka kusiko.
Hivi wafuasi wanaounga mkono maoni ya Pengo wakimfanyia fujo Gwajima huoni mtatusumbua tusio husika na huo upuuzi wenu.
Nyie mnaotanguliza ushabiki ndo mna matatizo.