Askari wangu hasimami kama mwanzo

Askari wangu hasimami kama mwanzo

Ubaya wa hii kitu kadri unavyowaza kuwa huwezi kusimamisha vizuri ndipo saikolojia inavyofanya iwe kweli. Acha kuwaza kuhusu hizo mambo.

Punguza uzito kiasi, fanya mishe zako, kaa hata mwezi mzima bila kuhangaika na sex.

Baada ya hapo kazi kwako..
 
Tafuta mume uolewe acha kutusumbua
Mkuu mbona me nakuheshimu sana ukizingatia ww ni senior, kiumri inawezekana ukawa ni faza kwangu.

kwann unafanya vitu ambavyo haviendani na ww ulivyo, kuna wale watu ambao huwa nawaona hapa JF kuna picha flani nakuwa nimeitengeneza jinsi walivyo kuanzia muonekano hadi haiba zao nakiri wazi umenidissappoint sana kwenye hili imekua tofauti na ninavyokuona kupitia reactions zako kwenye threads tofauti.

Hivi ni kweli kijana wako unaweza kumpa ushauri hasi kama ulivofanya?

Au, kuelezea changamoto ninayopitia nimekukosea mkuu?

Umenikosea sana mzee wangu,
 
ni sahihi najitahidi kupunguza lakini kubadili mfumo wa maisha kuanzia ulaji, kufanya mazoezi na muda wa kupumzika ili niwe sawa..nakiri wazi kuna namna mifumo yangu imekuwa tofauti na mwanzo huenda ni sababu ya hii changamoto.
Kabla ya hapo nini kilifanyika
 
Kabla ya hapo nini kilifanyika
nafikiri ni namna ya ulaji nimekua na ulaji wa hovyo, vyakula vya mafuta, soda lakini pia nimekua sifanyi mazoezi mara kwa mara tofauti na mwanzo nilikua nazingatia sana.
 
Salaam ndugu zangu wana JF.
Kwa siku mbili sasa nimekua napitia changamoto ya kusimamisha mnara..Nipo kwenye mahusiano na binti kutoka mkoa mojawapo wa nyanda za juu kusini.

Jumanne jioni kulitokea kutokuelewana kati yetu sisi, ikapelekea kusiwe na mawasiliano mazuri.
Baada ya kutokea mgogoro huo mdogo, kuna pisi nyingine nikawa na miadi ya kukutana nayo sasa kitu cha ajabu ni kwamba nilishindwa kusimamisha pindi nilipokua na huyu bibie mwingine, ambaye sio mara ya kwanza kushiriki naye sex.

Haikuishia hapo, mimi nina kawaida ya kusimamisha mara kwa mara, haijalishi nimekaa, natembea au nimelala huwa nasimamisha...sasa kwa hizi siku mbili hali imekua tofauti sana.

Muda mwingi mjeshi anakua hasimami ipasavyo, na ikitokea amesimama ni kwa unyonge tofauti na kawaida.

Kuna muda nafikiria huenda huyu bibie ambae nimepishana nae kuna namna amefanya, au inatokea tuu, binafsi hii hali haijawahi kunitokea kabla.

Au pengine ni uzito unachangia kuwa hivi, Nina 26 yrs, 104 kg na urefu ni fut 6.

Nafanya mazoezi mara moja kwa wiki(weekend).
Ila kegel na mazoezi madogo kama push-up nafanya karibu kila siku.
Ndugu zangu, brothers na wazee wangu naombeni msaada wenu kuhusiana na hii changamoto ninayopitia nimekua na stress sana... shukrani.

Karibuni sana wanajamii
Anza kupunguza uzito kwanza halafu uje tukupe ushauri nini cha kufanya...
 
ni sahihi najitahidi kupunguza lakini kubadili mfumo wa maisha kuanzia ulaji, kufanya mazoezi na muda wa kupumzika ili niwe sawa..nakiri wazi kuna namna mifumo yangu imekuwa tofauti na mwanzo huenda ni sababu ya hii changamot
 
nafikiri ni namna ya ulaji nimekua na ulaji wa hovyo, vyakula vya mafuta, soda lakini pia nimekua sifanyi mazoezi mara kwa mara tofauti na mwanzo nilikua nazingatia sana.
Punguza vyakula vya sukari
 
Epuka
1. Punyeto
2. Stress
3.Dawa za kuongeza nguvu za kiume vya kwenye maduka heri mitishamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom