Waziri wa urinzi yupo kama kivuli ambacho hakitingishiki kwenye hii wizara.
Mkurya atabadilikaje?= wamebadili
Wewe nawe andika Kiswahili vizuri, kufundwa kote JF bado tu huelewi wapi pakuweka R na wapi pakuweka L.
Mkurya atabadilikaje?
Kuna watoto wanapendwa jamani....!Wale ni walinzi wa nyumba nyeupe alipewa na baba yake usiku ule.
Anika=andika
Mkuu umenitoa machozi eti mtoto amekushika shati utamla mtu vzr na ripoti ishatoka sisi ni nchi raia wake hawana furaha lakini bwana yule mawazo hana game nae hapigi vzr wkt ni anapendwa na mfalme na ubosi wote ule .... hakika kwenye miti hakuna wajenziYaaani ningekuwa mimi nyumba yangu inalindwa,pesa napiga,napendwa na rais nalala kwa amani kabisa hapo nashindwaje kumchomeka mimba shemeji yenu???,ningekuwa napiga game za maaaaaaaaana,sie maskini mawazo hadi mdudu hasimami wakati mwingine mtoto kakushika shati anataka ada utamla mtu vizuri kweli.
Mkuu, hujawahi kupita kule kivukoni? Mbona wale wa Kijitonyama na kule kwenye jumba wapo, na ikifika saa 12 wao hulinda.Makirikiri wanalinda ofisi za usalama wa taifa sio ikulu
Wanavaa nguo kama za ngozi ya fisi
Polisi ni watoto sana, hawawezi kupewa ikulu walinde hiyo sio size yao.Ikulu si wanalinda FFU? Au wamebadiri?
HaswaaUmechelewa njomba,tamko limeshatoka kwa Mkulu.
Cha msingi tujikite kwenye idea na si personalities
Uniform zinaonyeshaInasemekana ni walinzi wa makazi ya sizonje,alitoka nao huko
Hivi hujaziona alama za kuuliza kwenye uzi wake..??KAMA HUJUI NI BORA UULZE KWNZA KABLA YA KUANDIKA
So sad kwamba tuna rais mtengeneza vipindi vya Shilawadu.Kwahiyo aliwachukuwa walinzi wa idara ya usalama wa Taifa?
Tunaomlaumu Daud Bashite hatujielewi hii show inasimamiwa by remote kutoka Magogoni, kosa la Daud Bashite ni kukubali kutumika tu.
Hiki kitu hakihitaji hasira. Wote tutulie. Mnaongalia Tanzania ya sasa fanyeni na mnaoangalia Tanzania ya hapo baadaye fanyeni hivyo. Hatuwezi wote milioni 50 ku focus kwenye kitu kimoja.hebu acha mambo ya kijinga, nilikuwa baiadi hali ni mbaya watu wanaishi kwa kula mboga za majani, jagi la mahindi elfu tano, mji wa nzega umedumaa hakuna uchumi tena baada ya mgodi kufungwa, kule bulyanhulu bar zimekosa wateja baada ya kuzuiwa kusafirishwa mchanga, pale kurasini malori ya golden coach yanapigwa grease kila asubuhi, halafu nyie mnajadili mambo ya kijinga jinga, sasa kimada wa gwajima anawahusu nini? mwacheni makonda ahangaike na mateja na madada poa nyie hangaikieni namna gani watanzania watapata mlo wa mchana angalau uji tu.