realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,983
Sasa mbona unaanza kuchimba ndani zaidi asee?
..."huenda", nafasi yake kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa ikawa inampa pia hiyo nguvu ya kuambatana na askari jeshi...."huenda".....lkn point muhimu, ni sababu....alikuwa na sababu gani?Maswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Ndio....2..aliwachukuwa kwa amri yake kufuata ngada ...3..siwez jibu ila wale askar na jeshi ni WACHINAMaswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
kwa akili yako ya maiti una ona ume andika ya maana kweli! kazi tunayohebu acha mambo ya kijinga, nilikuwa baiadi hali ni mbaya watu wanaishi kwa kula mboga za majani, jagi la mahindi elfu tano, mji wa nzega umedumaa hakuna uchumi tena baada ya mgodi kufungwa, kule bulyanhulu bar zimekosa wateja baada ya kuzuiwa kusafirishwa mchanga, pale kurasini malori ya golden coach yanapigwa grease kila asubuhi, halafu nyie mnajadili mambo ya kijinga jinga, sasa kimada wa gwajima anawahusu nini? mwacheni makonda ahangaike na mateja na madada poa nyie hangaikieni namna gani watanzania watapata mlo wa mchana angalau uji tu.
Kweli kabisa.Majibu sahihi huja kwa fikra sahihi.
Amiri Jeshi mkuu hajaonyeshwa kushtushwa wala hajaona kosa kwa kilichofanyika.
I think the guy is standing on higher shoulder
Kama ulikuwa hujui pita barabara ya magogoni karibu na ikulu muda wowote ule kama utawaona polisi.Jinga sana wewe hao FFU ndio wanalinda ikulu na misafara ya rais ile outer cover pia kwenye mikusanyiko ya rais
Hujui kuwa serikali haina shamba?!
Yeye kwa sasa ndio adui wa Taifa.Mako ameongezewa ulinzi maadui mmekuwa wengi sana tunalinda uhai wake
Alipokuwa anaangalia tv ndio alipowatolea hao maaskari!Maswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Wewe mtoto tulia wakubwa wanaongeaKama ulikuwa hujui pita barabara ya magogoni karibu na ikulu muda wowote ule kama utawaona polisi.
Katib subiri 2035 haikuwa agenda ya mheshimiwa raisYote kwa yote awe kawaokota au kapewa Mimi nalia tu na katiba yetu ukweli tuna katiba ya Hovyo sana bila kubadili katiba kuna siku Chizi mmoja atatoroka pale milembe na kuchukua form ya kugombea urais atapigiwa kura na vichaa wengi wa hii nchi na Atakuwa Rais wetu mtukufu
Fanyeni kazi ..Hakuna wakumgusa Makonda hata mjinyonge.Maswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Ayo ni mambo ya kitaalamu sana mwanangu..Maswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.