OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,780
Kamati ya ulinzi na usalama inamiliki jeshi
FFU nawaonaga wengi tu pale Ikulu magogoni wakifanya kazi zao za ulinzi na wanajeshi.Polisi ni watoto sana, hawawezi kupewa ikulu walinde hiyo sio size yao.
Kuna siku hili genge litapevuka litaenda mbali zaidi na kutaka kumpindua magu mwenyewe,mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.Kamati ya ulinzi na usalama inamiliki jeshi
Kweli mkuuWale ni walinzi wa nyumba nyeupe alipewa na baba yake usiku ule.
Ndiyo kitakachofanyikaKuna siku hili genge litapevuka litaenda mbali zaidi na kutaka kumpindua magu mwenyewe,mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Ubongo ndio una command kinywa na vidole.Vidole navyo vinatamka?
Sajenti Samuel doe wa Liberia naye aliaminiwaga hivi hivi mwisho akamwaga mboga.lolHii kolabo ya Chato na Kolomije inacheza mchezo hatari sana
Kuna hatari siku moja Kolomije ataingia vituo vya radio na 'jeshi lake 'na kutangaza kuanzia sasa yeye ndio BWANA MKUBWA
Mtoto legelege mamboJeshi la Tz nao ni legelege kama sisi!?!
Mkuu ina maana wakishaenda lindoni hamna wengine wanaobaki.duuh!!yaani walinzi wa magogoni wachomokaje kuacha lindo ili kuenda mawingu kuwatisha shilawadu,hapa mtakatifu anahusika,nchi imevamiwa bandugu tuwe macho
Acha kupoteza muda wako, piga kaazii.Maswali:
1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?
2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?
3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?
Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Kwani vyeti feki siyo idea na kama siyo idea mbona serikali ya awamu hii ina deal na vyeti feki ina maana na yenyewe ina deal na personalities? Mbona yeye huyo makonda aliwataja watu akidai wanajihusisha na madawa ya kulevya bila kuwa na ushahidi wenye mashiko hiyo siyo kudeal na personalities? AMA KWELI KUWA UYAONE. MKUKI KWA NGURUWE BWANA KWA BINADAMU NI MCHUNGU!Umechelewa njomba,tamko limeshatoka kwa Mkulu.
Cha msingi tujikite kwenye idea na si personalities
Ubongo ndio una command kinywa na vidole.
Ha ha ha ha.Mr. Ova
Upo ha ha haaaaaaaa
Nimeanza kusomewa talaka tayari, umependa?
Makonda oyeeeee
Jinga sana wewe hao FFU ndio wanalinda ikulu na misafara ya rais ile outer cover pia kwenye mikusanyiko ya raisPolisi ni watoto sana, hawawezi kupewa ikulu walinde hiyo sio size yao.
FFU kama uliwaona basi walikuwa doria wanapota njia, pale wapo wenyewe amboa sio JWTZ na wala sio idara ya polisi, haja jezi wanazovaa n nadra sana kuziona huku mtaaniIkulu si wanalinda FFU? Au wamebadiri?
Wale ni usalama wa taifa.Mkuu hebu nieleweshe kwanza wale wanaolinda ikulu ni askari wa aina gani maana zile gwanda sizijui bado au ndio hao wa usalama wa taifa??