Askari wale wa Jeshi, Makonda aliwatoa wapi?

Askari wale wa Jeshi, Makonda aliwatoa wapi?

FFU kama uliwaona basi walikuwa doria wanapota njia, pale wapo wenyewe amboa sio JWTZ na wala sio idara ya polisi, haja jezi wanazovaa n nadra sana kuziona huku mtaani
Mimi sipiti tu nje naingia mpaka ndani ya ikulu kwa shughuri zangu, getini wapo FFU hao walinzi wa usalama wa Taifa nawajuwa na combat zao nazijuwa pia.
 
duuh!!yaani walinzi wa magogoni wachomokaje kuacha lindo ili kuenda mawingu kuwatisha shilawadu,hapa mtakatifu anahusika,nchi imevamiwa bandugu tuwe macho
Wale sio walinzi wa magogoni ni walinzi wa nyumbani kwake,tangu sakata la madawa lianze Bashite analindwa na FFU karibu 6 na wale jamaa wa makumbusho,hao wanaoonekana kama ni wanajeshi ni wale jamaa wa makumbusho hua wanavaa kombati kama za vijana wa Lugalo,hilo kundi lote aliloendanalo clouds alitoka nalo nyumbani kwake masaki.
 
Maswali:

1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?

2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?

3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?

Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Tulikuwa tunaangalia Shilawadu bana nyie kwanini mnashindwa kuzama na kuibuka na samaki
 
Maswali:

1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?

2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?

3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?

Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Unamfahamu huyu?
Isaac-Maliyamungu..jpg
 
Yote kwa yote awe kawaokota au kapewa Mimi nalia tu na katiba yetu ukweli tuna katiba ya Hovyo sana bila kubadili katiba kuna siku Chizi mmoja atatoroka pale milembe na kuchukua form ya kugombea urais atapigiwa kura na vichaa wengi wa hii nchi na Atakuwa Rais wetu mtukufu
 
FFU nawaonaga wengi tu pale Ikulu magogoni wakifanya kazi zao za ulinzi na wanajeshi.

Nakumbuka siku moja tukiwa kwenye DCM Konda alishusha abiria pale kwenye ukuta wa ikulu...askari wa FFU wakamrusha kichura Konda na abiria alieshuka mpaka Ferry.

Acha uhongo braza!

FFU kazi yao kufungua geti na kuwaclear wageni wanaoingia ikulu kwa msaada wa tiss hawana kazi zaidi ya hiyo
 
Ni Mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa so majeshi na askari polisi wapo chini yake apendavyo anawatumi...
Kwa maslai binafsi hilo sijui
 
Back
Top Bottom