Fellain
Member
- Feb 13, 2017
- 42
- 60
Ikulu si wanalinda FFU? Au wamebadiri?
Ikulu si wanalinda FFU? Au wamebadiri?
Mkuu samahani, unaweza kunifafanulia kidogo hapo kwenye nyekundu??Ukitazama CCTV footage ya tukio lile utaona kwamba zile sio uniform za TPDF na wala hazifanani hivyo hakuna mwanajeshi pale. Kwanza bashite angewapata wapi wanajeshi wa kufanya uhuni kama ule? wanajeshi hawafanyi kazi za utumishi wa umma na ndio maana hata mkuu wa mkoa mbele ya mwanajeshi si chochote si lolote.
Aliwatoa huko ulaya ulipo!Swali zuri sana hili Mkuu. Je, aliwakokota wakiwa barabarani!?
Chizi achukue fomu mara ngapiYote kwa yote awe kawaokota au kapewa Mimi nalia tu na katiba yetu ukweli tuna katiba ya Hovyo sana bila kubadili katiba kuna siku Chizi mmoja atatoroka pale milembe na kuchukua form ya kugombea urais atapigiwa kura na vichaa wengi wa hii nchi na Atakuwa Rais wetu mtukufu
Hakukuwa na mwanajeshi pale na hata zile uniform ni tofauti na za jeshi, halafu hata wangevalishwa uniform za jeshi bado hakuna mtu anayeweza kunishawishi kulikuwa na mwanajeshi pale.Moja kati ya maswali yaliyochelewa kuulizwa kabisa. Kwa nidhamu ya majeshi yetu ni vigumu sana Polisi na JW kuungana muda kama huo tena kwa jambo kama hilo! Nadhani kuna haja ya ku clear vizuri hali hii. Haiwezekani katika hali na akili ya kawaida.
Acha ujinga we nyasi, ndo nini sasa!Hao makili kili ndio wanaojianika pale kijitonyama, wengine hukaa getini na jezi zao hizo.
Basi cha maana ni kuvumilia hadi MUNGU akitukumbukaKatib subiri 2035 haikuwa agenda ya mheshimiwa rais
Kama wewe ni polisi ishia hapo.Wewe mtoto tulia wakubwa wanaongea
Zile uniform zinavaliwa na walinzi wa usalama wa Taifa, siyo wale wavaa kaunda suti.Hakukuwa na mwanajeshi pale na hata zile uniform ni tofauti na za jeshi, halafu hata wangevalishwa uniform za jeshi bado hakuna mtu anayeweza kunishawishi kulikuwa na mwanajeshi pale.
Kwa kuongea pumba hujambo hebu soma comment za watu ndo maana nakwambia bado mtotoUkitazama CCTV footage ya tukio lile utaona kwamba zile sio uniform za TPDF na wala hazifanani hivyo hakuna mwanajeshi pale. Kwanza bashite angewapata wapi wanajeshi wa kufanya uhuni kama ule? wanajeshi hawafanyi kazi za utumishi wa umma na ndio maana hata mkuu wa mkoa mbele ya mwanajeshi si chochote si lolote.
Kweli kabisa Mungu tu ndio muwezaBasi cha maana ni kuvumilia hadi MUNGU akitukumbuka
Kuna kingine unataka kujua? Japo sipo idara hiyo moja kwa mojaKama wewe ni polisi ishia hapo.