Askari wale wa Jeshi, Makonda aliwatoa wapi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Maswali:

1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?

2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?

3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?

Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
 
Maswali:

1.Mkuu wa mkoa ana mandate na majeshi yetu?

2.Kama hana mandate,wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?

3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?

Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Watakuwa walitolewa na Yeye Asiyepangiwa!!
 
Hana mandate,yeye ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa ila si kwa majeshi haya.

Wale wanajeshi/polisi/nanii sijui aliwatoa wapi,Kamanda wao kama ni mstaarabu ajiuzulu kabla ya kesho.

Haifahamiki Bashite so far anapoishi,ulinzi uliongezwa baada ya kumtaja Chid Benzi anatumia ngada.
 
Siku hizi anaishi Lugalo baada yA kutaja wauza poda.. nadhani hawakujua wanaenda wapi aliwaambia wamsindikize sehemu mara moja
 
Maswali:

1.Ukiacha askari Polisi wa kawaida,Mkuu wa Mkoa ana mandate na majeshi yetu?

2.Kama hana mandate,Wanajeshi wale alipewa kwa amri ya nani na kwa kazi gani?

3.Au Mkuu wa mkoa nyumbani kwake analindwa na wanajeshi na ndio hao siku ile aliamua kuambatana nao?

Naomba uchunguzi unaofanywa(kama ni uchunguzi kweli ni si geresha) uje na majibu kuhusu wale askari ilikuwaje wakafuatana na Makonda na taarifa ya uchunguzi ituambie kama wale si wanajeshi basi ni askari wa Jeshi gani la nchi hii au ni kutoka chombo gani cha ulinzi kinachotambulika kisheria hapa nchini.
Nafikiri ni wale wa usalama wa taifa ambao hulinda ikulu
 
Wale sio wanajeshi, ni wale wa kaunda suti na wenyewe huwa wanavaa magwanda ya rangi ya kijivu. Ukipita pale makumbusho jaribu kuchungulia pale utawaona.
Kwahiyo aliwachukuwa walinzi wa idara ya usalama wa Taifa?

Tunaomlaumu Daud Bashite hatujielewi hii show inasimamiwa by remote kutoka Magogoni, kosa la Daud Bashite ni kukubali kutumika tu.
 
Back
Top Bottom