Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,064
- 18,418
Ungemkumbusha tuu kuwa Cha kuokota hakirudishwi kama yeye alivyosema.Usirudishe kwani ni hela yako? Hutakiwi hata kuumia maana ni hela ambayo haikuhusu..
Kuna dogo alikuwa na itikadi kama hizo, ooh mm nikiokota kitu sirudishi. Kesho yake tu kapanda gari simu akaisahau kwenye gari, watu wenye roho kama yake wakapita nayo. Akaja kwangu analaani vibaya eti kwanini aliyeokota hajamrudishia
Sent using Jamii Forums mobile app