Labda ni hela fixed ya deni la matibabu,atampaje sasa.Miye na kazi naacha, umeona ss yule mwenye begi hata mia hajampa.
Wenye bahati huwa awabahatishi,kuna aliyewahi okota sanduku la almasi akalirudisha kwenye kampuni.Nikiwa mdogo mzee aliwahi kunisimulia kisa cha padre aliedondosha burungutu la pesa kwa makusudi..alipita mkurima mmoja mwenye haliduni ambae hata mavazi yake ni ya kuunga unga..akawa ameliokota begi la fedha alilolidondosha padre na kuliludisha kwa padre..unaambiwa padre alimtandika vibao jamaa na hakumpa hata senti tano..na mwisho wa siku alimuambia utakufa masikini mbwa wewe😁😁😁
Angeenda home kujichanga wampe bakshishi kidogo, 10M parefu ujueUkute hiyo 10 ndio gharama za matibabu atajifanyeje mwema wakati akishindwa kulipa hatoki hospitali.
Inategemea na mazingira yslikuwaje mkuuHuyo angetafutwa tu na kupatikana..micamera ya jkci ingemgundua..
Uuuuuwiiiii nafwaaaa, ilikuwaje hiyo.Wenye bahati huwa awabahatishi,kuna aliyewahi okota sanduku la almasi akalirudisha kwenye kampuni.
Wakati mwingine Mungu tunampa kazi za hovyo sana.Doh utasikia eti Mungu ata kubariki .
We ndo mimi, chezea milioni kumi weweMiye na kazi naacha, umeona ss yule mwenye begi hata mia hajampa.
Bwana asifiweMimi konda akinizidishia chenji huwa namrudishia,hata akinisahau kunidai nauli huwa nampa.
ThubutuuuuWenye bahati huwa awabahatishi,kuna aliyewahi okota sanduku la almasi akalirudisha kwenye kampuni.
Japo wao huwa wanaminya ukisahau hata mie hawa nampaMimi konda akinizidishia chenji huwa namrudishia,hata akinisahau kunidai nauli huwa nampa.
Si ndo hapo sijikazi wala nini? Nalegeza mwili kushoto kulia kona kona napotea mazimaWe ndo mimi, chezea milioni kumi wewe
Kuna mmoja ilikuwa ni Padre wakizungu yeye alipo mpelekea alimpa kuku mweusi basi akaachana naye tena yeye lilikuwa fuko na ilikuwa ni barabarani jiulize kalidondosha vipi ikiwa yupo kwenye ? Huyo hawezi okota tena hata shilling katika maisha yake yote .Nikiwa mdogo mzee aliwahi kunisimulia kisa cha padre aliedondosha burungutu la pesa kwa makusudi..alipita mkurima mmoja mwenye haliduni ambae hata mavazi yake ni ya kuunga unga..akawa ameliokota begi la fedha alilolidondosha padre na kuliludisha kwa padre..unaambiwa padre alimtandika vibao jamaa na hakumpa hata senti tano..na mwisho wa siku alimuambia utakufa masikini mbwa wewe
Walimjengea nyumba ya vyumba vinneUuuuuwiiiii nafwaaaa, ilikuwaje hiyo.
Kati ya mgonjwa na huyu askari nani alikua anahitaji hiyo million kumi? doing the right thing ni hulka ya Kiungu ambayo haihitaji malipoAskari wa kampuni ya ulinzi ya NG'e anaelinda JKCI.. Aisha twalibu..
Aliokota begi la mgonjwa aliedondosha eneo Hilo la hospitali lenye kiasi Cha pesa shilingi milioni kumi(10m)
Lakini mlinzi huyu alirudisha kiasi Hilo Cha pesa na mhusika hakumpa hata shilingi kumi.
Mkurugenzi mtendaji wa JKCL alimpatia shilingi laki Tano Kama zawadi ya uaminifu...
Je ungekuwa wewe ungerudisha hiyo pesa ili upewe zawadi ya uaminifu kwenye kazi yako ya laki tatu???? View attachment 2040303
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app