NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Naomba adm msiiweke kule kwenye jukwaa la sheria kwanza ila kila mtu atoe mawazo yake kwanza.
Kuna babu mmoja watoto wake wa kiume wote aliojaliwa wako Marekani zaidi ya miaka20 sasa. Walizaliwa Tanzania lakini wakahamia Marekani japo mara kwa mara wanakuja kumuona babu yao.
Kwa kuzaliwa wamezaliwa Tanzania lakini wakachukua uraia wa Marekani kutokana na sheria yetu hatuna kitu uraia pacha.
Swali linakuja je hawa watoto wake kisheria wanaruhusiwa kuja kumiliki mali za babu nyumba na viwanja na mashamba yakea aliyo nayo huku Tanzania?
Ila kila mwaka kwa kweli wanakuja kumuona baba yao na wanamtunza maana wanamtumiaga matumizi wakiwa huko nje.
Naomba msaada wa mawazo tafadhali
Kuna babu mmoja watoto wake wa kiume wote aliojaliwa wako Marekani zaidi ya miaka20 sasa. Walizaliwa Tanzania lakini wakahamia Marekani japo mara kwa mara wanakuja kumuona babu yao.
Kwa kuzaliwa wamezaliwa Tanzania lakini wakachukua uraia wa Marekani kutokana na sheria yetu hatuna kitu uraia pacha.
Swali linakuja je hawa watoto wake kisheria wanaruhusiwa kuja kumiliki mali za babu nyumba na viwanja na mashamba yakea aliyo nayo huku Tanzania?
Ila kila mwaka kwa kweli wanakuja kumuona baba yao na wanamtunza maana wanamtumiaga matumizi wakiwa huko nje.
Naomba msaada wa mawazo tafadhali