Asilimia 85 ya wanaume wa kitanzania waishio ulaya wameolewa

Kafanya utafiti lini? Na wapi? Na katumia njia gani kuufanya huo utafiti hadi kufikia hiyo asilimia ya 85? Sample yake ikoje?

I mean, sitaki ku-brag lakini wengine hapa hatuijui shida tokea tumezaliwa. Huo ndiyo ukweli wenyewe ingawa ni mchungu kidogo. Sasa sijui ni shida gani anazozungumzia huyo mtu.

Labda ni kwa hao waliotoka kwenye familia za kishenzi kishenzi. But not for the likes of me.

Kweli kakuchokoza......siye walala hoi twaangalia tu mnavyoji'mwambafy'......
 
Kweli kakuchokoza......siye walala hoi twaangalia tu mnavyoji'mwambafy'......

Wala hajanichokoza kwa sababu hajaniongelea mimi binafsi. Ila sidhani kabisa kama kafanya utafiti wowote ule.

Kama yeye kaolewa kwa sababu ya ugumu wa maisha basi na ajiongelee mwenyewe lakini siyo kuja na asilimia za ajabu ajabu kama 85. Asilimia 85 ya wabeba maboksi wangapi? Lini aliwafanyia sensa? Jinga tu hilo. Na Leo Tena siyo kipindi cha kujadili masuala mazito mazito. Ni udaku daku, heka heka, na ujinga ujinga tu.
 
Kwa maelezo kama haya yanahalalisha hii notion kuwa 'wabongo' ni watu wa hovyo hovyo hata fikra nazo pia ni za hovyo hovyo.

Hii ya 85% ameipata wapi na kama yeye, ametumia vigezo gani na wabeba box wa maeneo yapi au nchi gani. Maneno kama haya ni zaidi ya udaku.

Bora angekaa kimya jamii ikaendelea kumuona kama ni muelewa (hekima na busara) kuliko kufunua mdomo wake.
 
Mleta mada naona umepewa maelezo ambayo hayana ukweli wowote, ninavyofahamu mimi Gay ni mtu yeyote Mfiraji na Mfirwaji (mods tafadhali sijatukana hata biblia imeandika hivi hivi bila kuuma maneno).

Sasa kama kuna ukweli wa kwamba vijana wengi wa Kitanzania wameolewa na Wanaume wenzao basi ujuwe wao ndio wafiraji, hadithi nyingine ni porojo.

Binafsi nina exposure ya kutosha na nimetembea vya kutosha na naelewa tatizo la Immigrants na ndio maana huwa sishangai ninapomuona Dada wa kitanzania wa age ya miaka 25 akiwa na kibabu cha kizungu chenye miaka 75.

Hizi hadithi nyingine ni za kusadikika tu kama zamani tulivyoaminishwa ukienda jela ni lazima utakutana na Wababe na utaliwa tigo, kumbe ukweli ni kwamba kuna Wanaume ambao tigo zao zinanyevuwanyevuwa na wanaliwa tigo kwa raha zao na si sababu nyingine yoyote.
 
hivi kwa nini tunaruhusu upotoshwaji wa aina hii?

Hivi hakuna mamlaka inayosimamia hizi habari za redio zetu?

Kuna tukio lilitokea Australia siku za karibuni, niliona mtangazaji anahangaishwa na media za kule sana.

Hata kama leo tena wana mzaha, wasitoe accusations kama hizi kwa % kubwa hivi kirahisi namna hii.

Kuna kitu hakiko sawa hapa

Oh yeah maamuzi binafsi yanahusika sana tu. Ila, kipindi cha Leo Tena siyo kipindi cha serious news analysis.

It is geared towards a lowbrow audience.

Kwa hiyo sishangai sana mtu kama huyo kwenda kusema hivyo kwenye kipindi kama hicho.

Ila ningependa kujua zaidi kuhusu hiyo risechi yake (kama hata aliifanya)
 
hivi kwa nini tunaruhusu upotoshwaji wa aina hii?

Hivi hakuna mamlaka inayosimamia hizi habari za redio zetu?

Kuna tukio lilitokea Australia siku za karibuni, niliona mtangazaji anahangaishwa na media za kule sana.

Hata kama leo tena wana mzaha, wasitoe accusations kama hizi kwa % kubwa hivi kirahisi namna hii.

Kuna kitu hakiko sawa hapa

Hivi, wakati huyo mtu anatema hayo matapishi yake hao ma host(s) walijaribu hata kumhoji chochote kuhusu hiyo asilimia alivyoipata?
 
Wala hajanichokoza kwa sababu hajaniongelea mimi binafsi. Ila sidhani kabisa kama kafanya utafiti wowote ule.

Kama yeye kaolewa kwa sababu ya ugumu wa maisha basi na ajiongelee mwenyewe lakini siyo kuja na asilimia za ajabu ajabu kama 85. Asilimia 85 ya wabeba maboksi wangapi? Lini aliwafanyia sensa? Jinga tu hilo. Na Leo Tena siyo kipindi cha kujadili masuala mazito mazito. Ni udaku daku, heka heka, na ujinga ujinga tu.
Tatizo bado hamjagunduwa hasira, chuki, na wivu walionao waliotoswa Viza zaidi ya mara 3 na sasa wao mamtoni kwao ni ndoto, ndio wanaokuja na takwimu za kijinga kama hizi.

Sidhani kama kuna Mbeba box hata mmoja ambaye anafikiria leo atakula nini, lakini tupo Mamilioni ya Watanzania ambao bado hatujaweza kujihakikishia kupata mlo wa kila siku. tuache kudanganyana mbeba box ataendelea kuwa juu unless akili zake ni mbovu sawa na baadhi ya Wabunge na Mawaziri tulionao.

Na kila mtu ni lazima aelewe wazi wazi kuna land of opportunity lakini si Tanzania ambapo hata thamani ya kuwa na akili unashindwa kuelewa badala yake majitu ya hovyo hovyo tu ndio yanafanikiwa.

Inawezekana jiti jinga kama Willy Le Mutuz ndio linaharibu taswira ya maisha ya Mamtoni lakini hao hao wanashindwa kujifunza kitu kutoka kwa Alex Kajumulo na Jack Pemba licha ya kwamba nalo ni jinga tu.
 
Tatizo bado hamjagunduwa hasira, chuki, na wivu walionao waliotoswa Viza zaidi ya mara 3 na sasa wao mamtoni kwao ni ndoto, ndio wanaokuja na takwimu za kijinga kama hizi.

Na kuna wale waliorudishwa (deported). Wa hivyo kadhaa ninaowafahamu mimi wako salty sana. Hawaachi kukandia majuu. Halafu na siyo kwamba bongo wana maisha mazuri kihivyo. Nope.

Sasa ndiyo huyu wa Leo Tena anakuja na takwimu zake za kubuni. Kama yeye kaolewa basi na ajiongelee yeye na siyo kudhani kama yeye kaolewa basi na wengine wameolewa.
 
Na kuna wale waliorudishwa (deported). Wa hivyo kadhaa ninaowafahamu mimi wako salty sana. Hawaachi kukandia majuu. Halafu na siyo kwamba bongo wana maisha mazuri kihivyo. Nope.

Sasa ndiyo huyu wa Leo Tena anakuja na takwimu zake za kubuni. Kama yeye kaolewa basi na ajiongelee yeye na siyo kudhani kama yeye kaolewa basi na wengine wameolewa.
Off course wapo wajinga kama Noor Elly ambao walishindwa kujitambuwa na kudhani Wanawake wa Marekani ni sawa na wale wa Sinza Corner bar kwamba unaweza kumshika mattako na kumpa dole la kati, unarudishwa Bongo kizembe namna hiyo halafu unakuja kujenga chuki.

Nilikwenda Cape Town mwaka jana na nikakuta masiha yamechange sana na kazi zimekuwa ngumu lakini wale vijana wa Kibongo pale wanaishi powa kuliko waliopo nyumbani ambao mpaka leo watu wanapigania pesa ya kula, sasa sembuse Mamtoni?

Mamtoni patabakia kuwa Mamtoni na Bongo ni Bongo huu ndio ukweli, ila Bongo wapo vijana ambao wamechanga karata zao vizuri na maisha yao yapo Super.
 
Huu ugomvi uliouanzisha ngoja nisiingilie. Napita kama sikujui. Wallah tena sirudi hapa, utanisamahani!
 
Back
Top Bottom