Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
unadhani nitashangaa mwanamme kuoa mwanamke?
Jinsia moja ng'hana!
Jinsia moja ng'hana!
Ndoa ipi? Jinsia moja?
Ndoa ipi? Jinsia moja?
Bomu hili mwanangu, duh!
Source clouds fm now katika kipindi cha heka heka
Hebu nyani ngabu njoo utueleze vizuri
Inasemekana wengi wanaolewa na wanaume wenzao ili waweze kupata uraia na makaratasi nchi ambazo ni mstari wa mbele ni belgium
Wengi waliokuwa wanatoa ushuhuda wana rafudhi ya Kizanzibar, sijui kama wengine mmeligundua hilo
Kongosho ndugu yangu sio kila aliyeko huku kutoka Africa au Tanzania anabeba box. Kwa suala la ndoa ya jinsia moja hayo ni mapenzi ya mtu. Kama anataka kujiusisha na mambo hayo hata kama anamaisha mazuri bado atafanya tu. kwani walioko Tanzania wameanzia wapi au nao ni kwa ajili ya maisha magumu?? Alafu usizalau kazi kama kubeba box kunampa mtu kipato kizuri kwa nini asifanye? Wewe hujui kuna watu wanazibua vyoo.
Kongosho happy new year ,hivi mbona nilikumiss?nimeipata hii kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds.
Kuna mbeba box mmoja kasema vijana wa kiume kutoka Afrika hasa Tanzania, wamaolewa (mashoga) kwa sababu ya ugumu wa maisha.
Natamani kusikia kutoka kwa wabeba box wenyewe tetesi hizi, maana nina vijana naotamani waende huko kusoma umri utakapotimia.
Hebu naombeni ufafanuzi.
Mzazi mfurukutwa.
cc Rais wa wabeba box Nyani Ngabu
tena bomu la nyuklia.
Huyo kija kakonfesi almanusura na yeye aolewe
akatimka Ulaya haraka
akawa anaponda kuwa 'vijana wanakuja kutesa home kwa starehe kwa pesa za wamme zao wa huko ulaya'
wengine wanajisema mashoga ili wapate makaratasi.
Wa magharibi bado hawajaamka vizuri subiri ndani ya couple of hours watakuja huku;
sasa hayo makaratasi unayapata tu kwa kuolewa na mwanaume mwenzako?????
Uwiiii nipo airport alfajiri nimechekaje na hii topic. Wengi wa wanaume wameolewa na wake zao ndio watenda kazi. Kazi yao kula, kunywa kulala na kutafuta wake extra Facebook .nimeipata hii kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds.
Kuna mbeba box mmoja kasema vijana wa kiume kutoka Afrika hasa Tanzania, wamaolewa (mashoga) kwa sababu ya ugumu wa maisha.
Natamani kusikia kutoka kwa wabeba box wenyewe tetesi hizi, maana nina vijana naotamani waende huko kusoma umri utakapotimia.
Hebu naombeni ufafanuzi.
Mzazi mfurukutwa.
cc Rais wa wabeba box Nyani Ngabu
iyo ya ulaya inatakiwa isemwe na wanaoishi ulaya kama sio uzushi.
Hapo clouds radio na clouds tv madogo wengi wanapewa kazi kwa kugeuzwa lakini hawajadili iyo habari kwenye iyo radio yao.
Uchochez, uwongo,umbea,unafki..hakuna ukwel wowote katika hilo.eti source leo tena? Kipind cha mipasho cha kina mama?tarabu na umbea ndo asil au content y kipind,85% ni gay? Data ziko wap? Fatilia ubaloz wa bongo belgium utapata details za maana sio blaa blaaa
hebu muulize wewe, mie nimemshangaa
mtu aolewe sababu hayuko straight, lakini sidhani kama aolewe sababu ya makaratasi.
Afu naskia mtu anakuwa kaolewa, afu na yeye anaomba kutafutiwa mchumba huku home.
Can U imagine unaolewa na muke ya mutu?