Ashurey ndio dancer namba moja wa kike Tanzania

Ashurey ndio dancer namba moja wa kike Tanzania

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,679
Reaction score
9,839
20250313_205936.jpg

Ashurey kwa sasa ndio dancer namba moja wa kike Tanzania.

Vigezo anavyowapita wengine wote.
1. Anajua kucheza style zote za muziki
2. Ni mbunifu
3. Moves zake zinabadilika
4. Anaweza kucheza freestyle
5. Ni trainer mzuri sana
 
View attachment 3269455
Ashurey kwa sasa ndio dancer namba moja wa kike Tanzania.

Vigezo anavyowapita wengine wote.
1. Anajua kucheza style zote za muziki
2. Ni mbunifu
3. Moves zake zinabadilika
4. Anaweza kucheza freestyle
5. Ni trainer mzuri sana
Anakiuno kizuri, ana rangi nzuri, sura nzuri, figure nzuri midomo yake pia mizuri kwenye kunong'onezana.
Bila shaka atakuwa anajua kulia bila machozi na kuzunguka bila kugeuza tumbo na mgongo.
 
Back
Top Bottom