Ashurey ndio dancer namba moja wa kike Tanzania

Ashurey ndio dancer namba moja wa kike Tanzania

Sijui setfibi sijui Mrs energy!
Tapeli tu yule hana lolote!
Yeah!,nimempata,kumbe unamjua
Screenshot_20250315-073945_Opera Mini.jpg
 
Anakiuno kizuri, ana rangi nzuri, sura nzuri, figure nzuri midomo yake pia mizuri kwenye kunong'onezana.
Bila shaka atakuwa anajua kulia bila machozi na kuzunguka bila kugeuza tumbo na mgongo.
"Na Iwe Kama Ulivyonena"
 
Angel ndio kiboko yao..
Huyo Hana maajabu yoyote hata mi namshinda kucheza 😹😹😹
 
1742129444475.png


1742129590578.png


1742129644332.png

Dancer wa Kibanda Cha Simu naye amefariki Tarehe 13-03-2025.

PFunky Majani vinanda hivyo vibaya sana mzee ,tekeromucho soggy.
 
Back
Top Bottom