sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Kuna wakati ni busara kuukubali ukweli hata kama unakuumiza.
Zuchu ndio supastaa namba moja Tanzania kwa wanawake.
Ndio mwanamke very powerful na mwenye ushawishi zaidi ya wote ukimtoa Rais.
Kingine ndio demu wa Diamond Platnumz hata kama kuna watu wanaumia wanamshambulia sana haswa wanawake wenzie na wanaume wachache wenye tabia za kike. Lazima wakubali ndio demu wa Simba kwa sasa na wanapendana na kuelewana.
Kwa hiyo wanaomshambulia uku mitandaoni lazima mkubali kwanza mnarusha mawe kwenye mti wenye matunda.
Zuchu ndio mwanamke anaeweza kukohoa tu mpaka watoto wachanga wakamfatisha.
Niliona niwakumbushe tu!
Kanyaga twende Zuuu tumechelewa sana