Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Mchakato wa Kumtafuta JF Woman of the Year 2011 umekamilika baada ya kupigwa kwa kura za maoni na baadaye kuwashindanisha walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi JF.
Tafadhali Rejea katika uzi ufuatao ili kupata historia:
1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/230011-polls-jf-woman-of-the-year-2011-a-3.html
Tume ya Uchaguzi ya Jamiiforums JEC baada ya kupitia mchakato mzima wa uteuzi wa wagombea na upigaji wa kura imeridhika kwa kauli moja kuwa Uchaguzi ulikuwa HURU NA WA HAKI na hivyo inatangaza kuwa:
AshaDii ni: JF Woman Of The Year 2011 - (WoY 2011)
Kwa kuwa mhusika ametangazwa mshindi inampasa kuwa na maadili mema kipindi chote atakachokuwa amebeba title hii. Tume haitasita kumnyang'anya ushindi atakapokwenda kinyume na maadili ya JF na Tume.
Sambamba na hilo Members wa JF wanaopenda wanaruhusiwa kumwita kwa jina lake la heshima yaani: WoY AshaDii.
Pia sambamba na hilo zawadi ya TZS 50,000 itatolewa kwa mshindi wetu huyu.
Kwa niaba ya wana JF wote tume inapenda Kumpongeza kwa dhati kwa ushindi alioupata.
Wote Mnakaribisha Kumpongeza WoY AshaDii kwa Ushindi alioupata.
Wasalaam
Signed & Sealed:
Superman
Chairman - JEC
Tafadhali Rejea katika uzi ufuatao ili kupata historia:
1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/230011-polls-jf-woman-of-the-year-2011-a-3.html
Tume ya Uchaguzi ya Jamiiforums JEC baada ya kupitia mchakato mzima wa uteuzi wa wagombea na upigaji wa kura imeridhika kwa kauli moja kuwa Uchaguzi ulikuwa HURU NA WA HAKI na hivyo inatangaza kuwa:
AshaDii ni: JF Woman Of The Year 2011 - (WoY 2011)
Kwa kuwa mhusika ametangazwa mshindi inampasa kuwa na maadili mema kipindi chote atakachokuwa amebeba title hii. Tume haitasita kumnyang'anya ushindi atakapokwenda kinyume na maadili ya JF na Tume.
Sambamba na hilo Members wa JF wanaopenda wanaruhusiwa kumwita kwa jina lake la heshima yaani: WoY AshaDii.
Pia sambamba na hilo zawadi ya TZS 50,000 itatolewa kwa mshindi wetu huyu.
Kwa niaba ya wana JF wote tume inapenda Kumpongeza kwa dhati kwa ushindi alioupata.
Wote Mnakaribisha Kumpongeza WoY AshaDii kwa Ushindi alioupata.
Wasalaam
Signed & Sealed:
Superman
Chairman - JEC