Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,625
- 5,341
Duh..huyu mama kawakosea nini jamani? Leave the woman to do her job. Kama mwajiri wake yuko confortable na hizo safari kwa nini wengine muone kama anatafuta uraisi? Halafu ultimately wapiga kura ni wananchi..kwa hiyo hata kama akitaka kugombea si kosa maana naamini ni haki yake na wewe mpiga kura ndo utaamua kama anafaa kukuwakilisha au hakufai.
Lets learn not to hate. Lets be proud na achievements za watanzania wenzetu.
Big up mwalimu!
ametukosea kwa kuwa kwake kwenye chama cha magamba!