Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
hivi kichwani kwako kuna ile tunaiita live brain ama vipande vya kabeji? Nahisi hujawahi kuajiliwa toka uzaliwe.Sio zambi kurudi tanzania si kwao,kuna zambi gani utu kuja kwao
hivi kichwani kwako kuna ile tunaiita live brain ama vipande vya kabeji? Nahisi hujawahi kuajiliwa toka uzaliwe.Sio zambi kurudi tanzania si kwao,kuna zambi gani utu kuja kwao
no research n right to speak.Kaolewa na mkristo, lakini asili yake ni muislam.Alipoapa kuwa waziri aliapa na kuruani.
Anaandaa mazingira ya 2015
Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Sio mbaya.. Lakini yeye hatufai. Sanasana vitafaidika na vingi kuzaliwa vikundi vya taarab!Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Sio mbaya.. Lakini yeye hatufai. Sanasana vitafaidika na vingi kuzaliwa vikundi vya taarab!Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Ila Migiro na ndugu zake ni vichwa kiukweli.. Anaongea mpaka French na Arabic! Ana ndugu yake Mama Mwantumu Malale naye ni kichwa kama ndugu yake.
Mkuu, huwezi kujua kila kitu vitu vingine kama ujui ni bora ukae kimya..
Huyu mama ni Mpare, lakini kazaliwa Songea mume wake ni Prof. Clophans Migiro na wana watoto wawili wa kike..wote ni wakiristo
Hivi nikulize swali Muislam anafunga ndoa Kanisani? nijibu ili niendelee kukujuza zaidi bahati nzuri namjua huyu mama vizuri
Haya ni Muislam mkuu!na ile korani aliyoapa nayo siku anakuwa waziri ni nini mkuu? Nitakuwekea muda si mrefu picha yake aliyoapa nayo siku anakabidhiwa uwaziri.Mkuu mbona siku hizi ndoa mseto zinafungwa kanisani? Mbona mume wake Fatuma Kimario mkuu wa wilaya ya Igunga ni kiongozi wa kanisa katoliki huko Tegeta?
Sio zambi kurudi tanzania si kwao,kuna zambi gani utu kuja kwao