Asha Migiro hatulii NY?

Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.

Hivi kuna mtu bado anaweza kusikiliza maoni ya Sofia Mnyama? Wenye busara walikwisha sema akili zake zinafikiri uloda tu mida yote.
 
Nyie people! FICHENI UPUMBAVVV WENU THEN NA DHIHIRISHENI BUSARA ZENU! narudia mara ya pili kuwa'alert abt that agenda! 21 century unamjadili mtu specific kw dini, rangi, kabila ni ujinga uliokomaa mnaonesha ni jinsi gn mlivyo na LOW &THIN ATTIDUDE! Jadilini ISSUES, EVENTS, POLICY e.c.t au ndy wale mnaofikiri thrw MASABURI! Shenzz type!
 
UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble [/FONT]explaining what they are doing. Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16. Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described. Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away:

Jamani, jambo tunalojadili sio sisi tu, hata magazeti ya Marekani yameripoti jambo hilo kama inavyoonekana kwenye nukuru hapo juu
 
1. Jamani UN tunalikizo nyingi sana kutegemea na aina ya kazi yako. Kwa mfano mimi binafsi napata likizo kila baada ya wiki 6 na kwa maana hiyo nikiamua kuja nyumbani nitakuja si chini ya mara 7 kwa mwaka. Sasa huenda mama yeye kutokana na majukumu yake mazito akawa na likizo nyingi zaidi. Un inaamini mapumziko mzfupi ya kila baada ya muda fulani ili mtu aweze kuwa more effective kwa kupunguza msongo wa maisha na zaidi likizo za UN huruhusiwi kuchukua likizo na kukaa kwenye nchi unayofanyia kazi.

2. Chondechonde naona watu huko nyumbani mnaendekeza sana suala la UDINI, why? Tuulizeni sisi tunaofanyakazi hizi na UN na kupata bahati ya kuzunguka Dunia hii. Dini na Ukabila ni vya kuviogopa kabisa kama UKOMA, mataifa mengi yameingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya Dini na Ukabila. Naomba ndugu zangu tujaribu kuepuka hili. Sidhani kama kuna tatizo lolote kama viongozi watatoka kabila moja au dini moja kama watukuwa na sifa hizo. Nyerere alisemz "tuchague au tusichague mtu kwa ajili ya kabila au dini yake".
 
1. Jamani UN tunalikizo nyingi sana kutegemea na aina ya kazi yako. Kwa mfano mimi binafsi napata likizo kila baada ya wiki 6 na kwa maana hiyo nikiamua kuja nyumbani nitakuja si chini ya mara 7 kwa mwaka. Sasa huenda mama yeye kutokana na majukumu yake mazito akawa na likizo nyingi zaidi. Un inaamini mapumziko mzfupi ya kila baada ya muda fulani ili mtu aweze kuwa more effective kwa kupunguza msongo wa maisha na zaidi likizo za UN huruhusiwi kuchukua likizo na kukaa kwenye nchi unayofanyia kazi.

2. Chondechonde naona watu huko nyumbani mnaendekeza sana suala la UDINI, why? Tuulizeni sisi tunaofanyakazi hizi na UN na kupata bahati ya kuzunguka Dunia hii. Dini na Ukabila ni vya kuviogopa kabisa kama UKOMA, mataifa mengi yameingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya Dini na Ukabila. Naomba ndugu zangu tujaribu kuepuka hili. Sidhani kama kuna tatizo lolote kama viongozi watatoka kabila moja au dini moja kama watukuwa na sifa hizo. Nyerere alisemz "tuchague au tusichague mtu kwa ajili ya kabila au dini yake".

Dini na ukabila bado vina nafasi kubwa sana kwenye siasa za kiafrika. Huwezi ukanishawishi nimchague tena Rais muislam wakati uzoefu unaonesha nchi yetu imeingia matatizoni muda wote ambao Rais Muislamu amekuwa madarakani na mafanikio yalifikiwa pale tulipoongozwa na wakristo (sina haja ya kutoa mifano). Huyu wa sasa ndiyo kituko kabisa kwasababu amejaza mashemeji zake kwenye nafasi nyeti hadi inatia kichefuchefu. Kwa kifupi utendaji wa waislamu ni mdogo sana ukilinganisha na wakristo, waislamu wao wanachojua ni visasi tu.
 
1. Jamani UN tunalikizo nyingi sana kutegemea na aina ya kazi yako. Kwa mfano mimi binafsi napata likizo kila baada ya wiki 6 na kwa maana hiyo nikiamua kuja nyumbani nitakuja si chini ya mara 7 kwa mwaka. Sasa huenda mama yeye kutokana na majukumu yake mazito akawa na likizo nyingi zaidi. Un inaamini mapumziko mzfupi ya kila baada ya muda fulani ili mtu aweze kuwa more effective kwa kupunguza msongo wa maisha na zaidi likizo za UN huruhusiwi kuchukua likizo na kukaa kwenye nchi unayofanyia kazi.

2. Chondechonde naona watu huko nyumbani mnaendekeza sana suala la UDINI, why? Tuulizeni sisi tunaofanyakazi hizi na UN na kupata bahati ya kuzunguka Dunia hii. Dini na Ukabila ni vya kuviogopa kabisa kama UKOMA, mataifa mengi yameingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya Dini na Ukabila. Naomba ndugu zangu tujaribu kuepuka hili. Sidhani kama kuna tatizo lolote kama viongozi watatoka kabila moja au dini moja kama watukuwa na sifa hizo. Nyerere alisemz "tuchague au tusichague mtu kwa ajili ya kabila au dini yake".

Kwa kawaida kuna utaratibu wa kupena zamu mnapochukua likizo. Iweje wote mko nje kwa kipindi kirefu na hakuna wakujibu masuala, na watumishi wenu hawajui mnachokifanya isipokuwa tu kwamba mko nje?
With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble explaining what they are doing. Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16.
Pamoja na utetezi wako hii ni kashfa, na watakapofikia kipindi cha kutaka kuendelea kihunzi hiki kinaweza wakwamisha. Hayo ndiyo tunayoyaona hata kwa Mkulu wetu.
 
pakua+(20).jpg
03.jpg


Nashangaa kumwona Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Asha Migiro akiwa Tanzania na kutembelea Ikulu, sijajua kazi yake inamruhuku kurudi likizo kila mwezi Tanzania au Umoja wa mataifa una vipa umbele vya pekee kumtuma Naibu Katibu Mkuu wake kuja Tanzania? Au anaandaliwa kwa jambo jingine muhimu siku za usoni hapa nchini? Wiki alikuwepo Tanzania na kuonana na Mkulu kama picha inavyoonyesha.

Tusome source hii tuliyoletewa na mdau

Bofya hapa: Inner City Press: Investigative Reporting from the United Nations

[FONT='Times New Roman', serif]
UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble
[/FONT]explaining what they are doing.
Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16. Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described. Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away:


Saša hivi ni zamu ya wanawake
 
hakuna taifa lililofanikiwa kwa kuweka mbele udini/ukabila pale ambapo wananchi wake wengi wapo katika kabila au dini kuu mbili....inakaribisha uhasama ambao maafa yake ni ya kutisha na ya kudumu karne na karne....

kwani uislamu na ukristo maana yake nini...ni imani ya dhati mioyoni mwa watu inayojidhihirisha katika maisha ya kila siku au ni majina/kuzaliwa kwenye familia zenye hizo dini?

haiwezekani kuwa weka wanasiasa wote wa dini moja kwenye kundi moja.

mimi naona viongozi wengi wa siasa hapa tz ni wakristo/waislamu majina tu...maisha yao na values zao zinahusiana zaidi na unafiki na upagani kuliko imani.. ni jambo la aibu sana kwamba watu kama hawa ndio wana tufanya tubaguane kidini katika mambo ya siasa!!!
 
CCM huwa wanasema vijana hawawapendi, nguvu yao ipo kwa wanawake....the truth is hata wanawake wamechoka ila tu hawapendi sana kuingia mtaani na mabango...imagine maji ya kuwasha na mtoto mgongoni...
 
Hili tatizo km wengine walivyosema litatupotosha kila siku yani hata kurudi Kwao tunahoji... We are extremely driven by thought now I understand kwanini watu wameanza kupuuzia this platform...

Wengine viatu kageuza does this have anything to do with presidential race? Hebu tujadilini vya msingi tuache utoto .

Ni upuuzi kuona tunakua washabiki hata hatutambui heshima
 
ana kiherehere sana naye huyu ...kama kukaa NY si arudi tu ujue moja kutwa yuko ikulu.... au ndo anajidangaya kuwa atakuwa rais 2015?hahaaaa chichiemu bana yaaani mambo yao kama beki ya manchester ilivokuwa inacheza jana
 
Back
Top Bottom