Asha Migiro hatulii NY?

Haka kamama ni kaislam. Hizi trips nyingi ni za mawindo ya urais. Magamba wakimteua huyu njia ni nyeuuupeeeeeee kwa wapiganaji.

Amekuja kujadiliana na mkulu amwandalie tuzo gani nyingine, maana mipango nayo ikipangika inasafisha njia for 2015. She shows up to Lupatu Street as a novice for 2015 candidature.
 
Kumbe amekuja kwenye sherehe za miaka 50 ya kitivo cha sheria chuo kikuu cha Dar-es-salaam,nimeona leo amepewa cheti cha heshima cha utumishi bora..big up Dr.
 
Hivi sisi watanzania tuna tatizo gani na roho zetu mbaya? Alipokuwepo Koffi Annan alijaza ndugu zake Waghana katika nafasi tele za UN lakini sisi tumelala, Asha Rose akianza kufanya kitu basi tunalalamika kwa roho mbaya zetu. Mbona Mama T alipojaza ndugu zake wa kwao kwenye UN habitat mulinyamaza?

Na hizo tuzo munafikiri anakurupuka nazo kwakuwa kama maraisi wa kiafrika? Maana raisi wa kiafrika hujijaza matuzo. Munadhania kule UN watamchekea tu kwa vile ni Deputy SG. Jamani tukuwe tupanue mawazo na kuchukua nafasi hii wakati yeye bado yupo siyo kujadili mambo yasiyokuwa na tija.

Angekwenda Europe au kutoa tuzo kwa wazungu ndiyo mungefurahi na kusubiri muletewe misaada.

By the way, kuna Rose mwislamu?

Ndiyo, Rose ni jina tu. Kule Mara nilisoma na Rose Nyabange ( marehemu) Alikuwa Muislamu.
 
Kumbukeni kuwa mwendo wetu ni MKristu Mwislamu Mkristo Muislam.................................next mkristu
 
Duh..huyu mama kawakosea nini jamani? Leave the woman to do her job. Kama mwajiri wake yuko confortable na hizo safari kwa nini wengine muone kama anatafuta uraisi? Halafu ultimately wapiga kura ni wananchi..kwa hiyo hata kama akitaka kugombea si kosa maana naamini ni haki yake na wewe mpiga kura ndo utaamua kama anafaa kukuwakilisha au hakufai.

Lets learn not to hate. Lets be proud na achievements za watanzania wenzetu.

Big up mwalimu!


unakua naivu namna hii, bila tume huru ya uchaguzi mgombea wa CCM hadi hapa tulipo ana kura mil 3 za kupewa, sasa kwa nini tusiwaongelee wagombea hawa watarajiwa wa CCM?
 
Kwani Rose Asha ni mkristo au mwislamu? Maana nilisikia waislamu wanasema Nyerere alitwala miaka 22 na Mkapa akatawala 10. Ikilinganishwa na Mwinyi miaka 10 na Kikwete miaka 10 basi lazima wapate mwislamu tena miaka 10. safari hii watasema tunataka mwanamke maana kwa miaka 50 hajawahi kutawala mwanamke. Ndipo watachomoa jina la mwislamu Asha aliyekuwa amefichwa nyuma ya Rose.
 
unakua naivu namna hii, bila tume huru ya uchaguzi mgombea wa CCM hadi hapa tulipo ana kura mil 3 za kupewa, sasa kwa nini tusiwaongelee wagombea hawa watarajiwa wa CCM?

Sasa mkuu, nimekukusoea nini mpaka uniite naivu jamani? hivi hatuwezi jadiliana kwa hoja bila kuitana majina? Hata kama hukubaliani na hoja yangu..si na wewe unijibu kwa hoja?

Haya bana weekend njema.

Masanja
 
Kumbukeni kuwa mwendo wetu ni MKristu Mwislamu Mkristo Muislam.................................next mkristu

I care less awe muislam, awe mpagani awe cochote..Its less important to me. Ufisadi, tofauti na watu wachache wanavyotaka tuamini, hauna sura ya dini wala imani. Hii tabia ya kujaji mtu kwa imani yake ni tabia mufilisi kabisa na anayeiendekez anastahili kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria husika.

Masanja
 
Hivi sisi watanzania tuna tatizo gani na roho zetu mbaya? Alipokuwepo Koffi Annan alijaza ndugu zake Waghana katika nafasi tele za UN lakini sisi tumelala, Asha Rose akianza kufanya kitu basi tunalalamika kwa roho mbaya zetu. Mbona Mama T alipojaza ndugu zake wa kwao kwenye UN habitat mulinyamaza?

Na hizo tuzo munafikiri anakurupuka nazo kwakuwa kama maraisi wa kiafrika? Maana raisi wa kiafrika hujijaza matuzo. Munadhania kule UN watamchekea tu kwa vile ni Deputy SG. Jamani tukuwe tupanue mawazo na kuchukua nafasi hii wakati yeye bado yupo siyo kujadili mambo yasiyokuwa na tija.

Angekwenda Europe au kutoa tuzo kwa wazungu ndiyo mungefurahi na kusubiri muletewe misaada.

By the way, kuna Rose mwislamu?

Na I can asure you huyu mama ikitokea asipewe muhula mwingine na Ban Ki-Moon ( Of which I hope atampa)..kuna wabongo/waafrika watafurahi sana. Anyway mi nadhani kikubwa ni utendaji wake. Ila vile vile ajitahidi kuinua waafrika/waswahili kwenye system as a high ranking African kwenye system. Ajifunze kwa ndugu zetu wa west Afrika au waethiopia. I admire them! Personally, kama nina shida na najua kuna mtu wa West Afrika na Mswahili mwenzangu, naturally nitaanza na Jamaa wa West Afrika. Wana shida zao lakini kama ana namna ya kukusaidia provided you are capable and you have right qualifications, he/she will help. Mswahili yuko radhi hata akuteme kabisa msiwe ofisi moja! wabongo sisi ni so!
 
Skillfull person who resonable with wise always they discus ISSUES, EVENTS, POLICY! Dealin' with definite course of action! Bt ****** peoples who LAYMAN, NATIVES ( LACKIN' SKILLS EXPERTISE) always discus abt A SPECIFIC PERSON! 21 century unamtambulisha m2 kw dini yake! Pumbavvv zenu mmefilicka KIAKILI! Dr Migiro awe mpagani, muislamu, mkristo ina2saidia nini dini yake in order 2 achieve progress goals in our country? Hii JF c sehemu ya kl ujinga, ubaradhuli, upumbavvv, uhayawani wenu unaowajia vchwani mnauweka!
 
Anajitahidi kutengeneza mazingira mazuri kwa ajili ya 2025. Subiri na yeye amwagiwe Pollonium ndiyo atapata akili kuwa ikulu haikimbiliwi.

Namfahamu huyu mama ana uwezo na busara pia ya kuwa MKULU wa nchi; kwa bahati mbaya hivi sasa watu wanahisi kuwa anatayalishwa na mkweree kama mrithi wake na hiyo ndiyo disadvantage yake itakayofanya asichaguliwe na ccm kwanza na wananchi baadae. Mkweree hana mvuto tena kwa waTanzania mpaka wameanza kumzomea hadharani!!
 
Labda jibu la safari zake nyingi Tanzania ni kwenye link hii:

Inner City Press: Investigative Reporting from the United Nations

At UN, No Answers on Migiro's "Official Travels," Budget Chief Leaving,
Ban's Job Gift to Koo



By Matthew Russell Lee




UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble explaining what they are doing.
Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16.

Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described.


Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away:
Inner City Press: Ban Ki-moon has named Samuel Koo as the UN Commissioner-General for the Yeosu Expo. This was in the South Korean press, and I just wanted to know, what is this Commissioner-General position? Is it a paid position? What’s this all about?
Acting Deputy Spokesperson Haq: It’s not an announcement that we have made from here. We’d have to check what the report is on this particular thing. It’s certainly not an appointment that we’ve announced from here, however. Have a good afternoon, all.
But for the rest of the afternoon, and evening, no answer at all was given. The Korea Herald had reported:
"U.N. Secretary-General Ban Ki-moon appointed Samuel Koo, a former U.N. official and journalist, as the U.N. commissioner-general for the 2012 Yeosu Expo... In Korea, Koo has also held posts related to culture, tourism and convention, including culture ambassador for the Foreign Ministry and president of Seoul Tourism. Koo now chairs the culture and tourism committee of the Presidential Council on Nation Branding."
So Ban gave out a grandiose-sounding UN position without his spokespeople knowing, or even bothering to look into and provide an answer on for sixteen hours and counting. Koo was also at one time a UN correspondent, seeking information not without success from the Office of the Spokesperson for the Secretary General in the past. And now?
Meanwhile, Inner City Press has twice asked about DSG Migiro's month-long "official travel," first asking Ban's lead spokesman Martin Nesirky, who said he would look into it and provide an answer, then when he didn't, asking Haq on August 8:
Inner City Press: this was actually just kind of a follow-up. It’s something I had asked Martin last week, I don’t have an answer, so it’s not really a follow-up. It’s a reiterated question. Everyday in the Spokesperson’s Office there is a sheet saying that the DSG [Deputy Secretary-General] is on official travel, and he’d said he’d look into it. I wanted to know, what is that official travel?
Acting Deputy Spokesperson Haq: She is on home leave. She is on home leave in [the United Republic of] Tanzania, but she does have some official functions and we’ll let you know about those as they come.
But a day and a half later and counting, not a single official act has been reported. Inner City Press followed up:
Inner City Press: what’s the distinction, because I have seen sometimes things listed as leave, but this has been a full month stated as official travel. What’s the distinction?
Acting Deputy Spokesperson: Like I said, it is home leave, but it does include some official functions.
What are those functions? Sources tell Inner City Press that the African Group of member states at the UN is being lobbied to get Ms. Migiro a second term, like Ban got. Others say there is a European for that position.
 
FIKRA-YA-WEEKEND.jpg



Nadhani Akifikiria hili suala kuwa watafanyaje
 

Attachments

  • FIKRA-YA-WEEKEND.jpg
    FIKRA-YA-WEEKEND.jpg
    66.9 KB · Views: 37
At UN, No Answers on Migiro's "Official Travels," Budget Chief Leaving, Ban's Job Gift to Koo​
By Matthew Russell Lee
UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble explaining what they are doing.
Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16.

Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described.
Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away:

Kwa kweli safari kama Mkulu wake, sasa bosi wake akienda Korea naye mguu njia Bongo, nani wa kusikiliza shida na kutatua matatizo UN?
 
Kwani Rose Asha ni mkristo au mwislamu? Maana nilisikia waislamu wanasema Nyerere alitwala miaka 22 na Mkapa akatawala 10. Ikilinganishwa na Mwinyi miaka 10 na Kikwete miaka 10 basi lazima wapate mwislamu tena miaka 10. safari hii watasema tunataka mwanamke maana kwa miaka 50 hajawahi kutawala mwanamke. Ndipo watachomoa jina la mwislamu Asha aliyekuwa amefichwa nyuma ya Rose.

kaolewa na mkristo,lakini asili yake ni muislam.Alipoapa kuwa waziri aliapa na kuruani.
 
Back
Top Bottom