SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea.Hawa wazazi wameishia wapi?
TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea.Hawa wazazi wameishia wapi?
Afadhali. Tupinge sana unyang'anyi wa TRA. Kama kuna kesi na hao jamaa, waende mahakamani, sio kufunga akaunti. Huu ni ukiukwaji wa utawala wa sheria.TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea.